Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Kaka mwenye tatizo
Kuwa makini sana na ushauri unaopata hapa, akili za mwenzio changaya na za kwako...
Bahati nzuri sana naona wengi wanatoa ushauri mzuri, ushauri wowote unaokuelekeza ufanye maamuzi ya
kumtosa mama ako ni ushauri wa kishetani kabisa.
Hata uamuzi wa wewe kumfuata mother face to face na kudiscuss hii issue sio mbaya, tatizo lake ni approach tu ndio inamatatizo.
Japo hata tunaposema umuombe Mungu, jiulize kwanza Mungu gani?
Kuwa makini sana na ushauri unaopata hapa, akili za mwenzio changaya na za kwako...
Bahati nzuri sana naona wengi wanatoa ushauri mzuri, ushauri wowote unaokuelekeza ufanye maamuzi ya
kumtosa mama ako ni ushauri wa kishetani kabisa.
Hata uamuzi wa wewe kumfuata mother face to face na kudiscuss hii issue sio mbaya, tatizo lake ni approach tu ndio inamatatizo.
Japo hata tunaposema umuombe Mungu, jiulize kwanza Mungu gani?