Alikuwa wapi muda wote huo? Au ndiyo kujibu mapigo ya Mkuu VUTA-NKUVUTE humu:https://www.jamiiforums.com/uchaguz...janeth-magufuli-agoma-kukampeni-acharuka.html
Safiiiiiii sana Kiongozi.The next first laaaaddddyyyyyy....hutaki jinyonge
Huyu si alikua kafungiwa ndani huyu???![]()
![]()
![]()
Mama yetu Janet Magufuli akitema sera za CCM
Mmetumia nguvu nyingi sasa kwa huyu Mama kutoka/kupanda kwenye majukwaa ya siasa, Trust me.
Mr Chin umeiona hii??Alikuwa wapi muda wote huo? Au ndiyo kujibu mapigo ya Mkuu VUTA-NKUVUTE humu:https://www.jamiiforums.com/uchaguz...janeth-magufuli-agoma-kukampeni-acharuka.html
![]()
![]()
![]()
Mama yetu Janet Magufuli akitema sera za CCM
Kamuiga mama lowassa.
Tuache matusi wakuu kwa hawa wa - mama kisa tu itikadi za vyama. 90% ya kesi za kupigana kipindi nikiwa mdogo zilisababishwa na mtu kuwatusi wazazi wangu ... Yaani hapo sina uvumilivu kabisa. Anyways, amependeza but anaonekana kama ana - force tabasamu..!
Ana haiba nzuri sio kama yule ajuza na mwenzie wamechokaaaa