Mama,baba,mdaiwa,rafiki au mpenzi?

Mama,baba,mdaiwa,rafiki au mpenzi?

Worldboss

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
2,932
Reaction score
3,761
Unaamka asubui unakuta missed calls 5

Ya mama
Baba
Mpenzi
Unaemdai Pesa
Rafiki wa karibu
Je, nani utaanza kumpigia,na wakina nani watafuata?
 
Mama kwanza wengine watafuata
 
1. Unaemdai
2. mama
3. rafiki
4. baba
5. mpenzi
.
 
Wengi hapa tutaishia kusema "Yamama"...nikweli mama hana mfano.

Ila kiuhalisia. Let say jana yake umemuomba demu mchezo alafu akuambia kesho asubuh nitakushtua..... Ndo umeamka na mawazo ya mzigo....unakuta izo missed call ......


Miminimkulimaakachekasana

*I shall kindly Knee to leave my Pride*
 
Wengi hapa tutaishia kusema "Yamama"...nikweli mama hana mfano.

Ila kiuhalisia. Let say jana yake umemuomba demu mchezo alafu akuambia kesho asubuh nitakushtua..... Ndo umeamka na mawazo ya mzigo....unakuta izo missed call ......


Miminimkulimaakachekasana

*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Hahahahah! Yani hapo mtihani kwa kweli
 
Wengi hapa tutaishia kusema "Yamama"...nikweli mama hana mfano.

Ila kiuhalisia. Let say jana yake umemuomba demu mchezo alafu akuambia kesho asubuh nitakushtua..... Ndo umeamka na mawazo ya mzigo....unakuta izo missed call ......


Miminimkulimaakachekasana

*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Hao wanaosema mama wote wanafiki waongo we unacheza na mapenzi nini

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
1:mpenzi- nataka anipe papuchu ake ili nijihisi mwepesi asubuh kutafuta pesa.
2:mdaiwa- biashara asubuhi, mahesabu jioni.
3:rafiki-anipe michongo ya kupata pesa.
4:mama- najua amenimisi na bila shaka atahitaji pesa kutoka kwangu hivyo ntakuwa na pesa ya kumpatia.
5🙁rejea kwa mama)
 
Back
Top Bottom