LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
Nenda taratibu ndg yangu,akili ni nywele na kila mtu ana zake. Wapo pia kina dada wanaopenda sana kujua kipato cha waume zao si kwa kujenga ila ili akubane,humu utapata ushauri ila finally mwamuzi ni wewe. Doooh bora umeuliza niliyoyategemea ndio nimeyasikia.
Yap ndio maana tumemshauri na tumemwambia achanganye na zake. Na tumemwonyesha mwisho wa hayo anayofanya. Still yeye ni mwamuzi wa mwisho katika hili. Hatumjui hatujui, na tunaamini atafanya kile ambacho moyo wake utaona ni sahihi. Be blessed!!