LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 574
whats this? is it necessary?
Kauli Mbiu ni. POTEZEA
whats this? is it necessary?
.....hivi bado wanaume wa aina hii wapo ktk dunia ya leo!! Yaani unamficha mkeo mapato yako ili iweje? Eti ndoa ina mwaka....mkeo alitakiwa ajue mapato yako tokea kipindi cha uchumba wenu. Ina maana nyie kama wanandoa hampangi mipango yenu pamoja ya maendeleo? Hebu mkabidhi mkeo na sio mama,na kama unamuona hajui matumizi inabidi umfundishe....je umeshaandika mirathi wewe? Au nayo utamuandika mama urithi badala ya mkeo na watoto.
Kuna vitu unavyoweza kuvionyesha hadharani but NOT upumbavu wako! Jaribu kuficha upumbavu
Ok,ok punguzeni jazba wapendwa najua ni topic inagusa. Please twendeni pole pole.
Nampenda sana mke wangu mpaka watu wapumbavu wanasema nimelogwa. Hii ya wife ku run shughuli naona itampa wakati mgumu kwa kasociety kangu kakijinga kanakozua hayo mambo ya kulogwa. Halafu hatuishi kwenye kisiwa hii society ikimkataa wakati sipo ataishije?
VoA asante I am thinking or at least i'm thinking that i'm thinking. Get it? Lol.
Thenx Lizzy, LD, Carmel, kwa ushuriwen mzuri, mpaka jama kaelewa hi ndio JF nawakubali. hatamimi nimepata kujua, bongo wanaume wengi wanawaficha wakezao biashra zao na vipato, Asanteni
Hii mada ni tamu sana!
SASA NAOMBA TUIGEUZE IWE "VICE VERSA OF THE fACTS" ili tujadili na upande wa pili, yaani badala ya kuwa mwenye Mshahara na anayekwenda kusoma ni mme, pawe ni mke.
Hii mada ni tamu sana!
SASA NAOMBA TUIGEUZE IWE "VICE VERSA OF THE fACTS" ili tujadili na upande wa pili, yaani badala ya kuwa mwenye Mshahara na anayekwenda kusoma ni mme, pawe ni mke.
Hahahaha LD kumbe swala likigeuza haliwi straight forward tena. Mbona hamsemi kua mke nae amwachie mume ila eti inabidi ijadiliwa.
Umepoteza busara hapo.
dah! Hili lisredi nimelichelewa... Lizzy ld, carmel mmemshauri vizuri.Habari wakuu. Naomba tubadilishane mawazo kwa hili.
Naenda kusoma nje. Mshahara wangu utaendelea kuingia kwenye akaunt yangu ambayo nayo ndio naitumia kwa biashara zangu. Sasa navyoondoka sijui kadi nimpatie mama au mke kwa ajili ya kuendelea ku run shughuli na matumizi mengine. Wife hajui kipato changu taslimu na ni vizuri,ila kwenda kuomba kwa mama inaweza ikawa kero.
Mwalioneje hili?
Ok,ok punguzeni jazba wapendwa najua ni topic inagusa. Please twendeni pole pole.
Nampenda sana mke wangu mpaka watu wapumbavu wanasema nimelogwa. Hii ya wife ku run shughuli naona itampa wakati mgumu kwa kasociety kangu kakijinga kanakozua hayo mambo ya kulogwa. Halafu hatuishi kwenye kisiwa hii society ikimkataa wakati sipo ataishije?
VoA asante I am thinking or at least i'm thinking that i'm thinking. Get it? Lol.
Habari wakuu. Naomba tubadilishane mawazo kwa hili.
Naenda kusoma nje. Mshahara wangu utaendelea kuingia kwenye akaunt yangu ambayo nayo ndio naitumia kwa biashara zangu. Sasa navyoondoka sijui kadi nimpatie mama au mke kwa ajili ya kuendelea ku run shughuli na matumizi mengine. Wife hajui kipato changu taslimu na ni vizuri,ila kwenda kuomba kwa mama inaweza ikawa kero.
Mwalioneje hili?