Mzururaji
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,558
- 1,274
Baada ya kufariki mzee Magufuri na kupokewa na makamu wake Sasha uliibuka msemo maalufu wa mama anaupiga mwingi sana kama kuonesha dharau na kebehi kwa hayati Magufuli baada ya tozo za simu na kodi ya mafuta hatusikii tena habari za mama anaupiga mwingi sana shida nini
Wapinzani wa nchi hii ni hovyo sana wakati wa Bunge la bajeti mlikuwa busy na kauli yenu ya kusaga kunguni mkawa busy na DIAMONDPLATNUMZ na tuzo za BET kuanzia makamu mwenyekiti hadi wapambe busy na ujinga ujinga wa diamond sasa hamuelew chochote
Sasa tunasema mama anaupiga mwingine aachwe tulipe kodi tujenge nchi tuachane na mwenda zake
Wapinzani wa nchi hii ni hovyo sana wakati wa Bunge la bajeti mlikuwa busy na kauli yenu ya kusaga kunguni mkawa busy na DIAMONDPLATNUMZ na tuzo za BET kuanzia makamu mwenyekiti hadi wapambe busy na ujinga ujinga wa diamond sasa hamuelew chochote
Sasa tunasema mama anaupiga mwingine aachwe tulipe kodi tujenge nchi tuachane na mwenda zake

