Am For Real
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 337
- 817
Ajenge kwake🤣🤣 Mamas boy.....Nakushauri uwe unafunga chumba chako
Wakat mwingine tunatumia nguvu nyingi kushauri wapuuziNunua mashine ya kufulia, hii siyo jambo lakuja kujadili humu, pumbavu
Takataka. 🚮Wasalam wanajamii forum, Mimi ni mwanaume rijali ninayeishi na mama nyumbani.
Nina tabia ya kurudia nguo hata siku SITA BIla kubadilisha na nikibadilisha naendelea hivyo hivyo huku nikirundika manguo yawe mengi Ili nije niyafue Kwa pamoja.
Mama anapenda Sana kuingia chumbani kwangu na mara nyingi panakuwa sio pasafi.Basi atanidekia choo na kusafisha chumba changu na kutandika kitanda lakini kinachoniuma kwanini ang'ang'anie kunifulia Mimi ni mtu mzima.
Kuna muda Hadi tunagombana nakasirika na kulia kabisa.Sijui hata nifanyeje anielewe.
No,mama shud go back to her father place ,huyo abaki hapo ndio kwaoAjenge kwake
Basi kama hutaki akufulie toka apo nyumbani......simple like thatWasalam wanajamii forum, Mimi ni mwanaume rijali ninayeishi na mama nyumbani.
Nina tabia ya kurudia nguo hata siku SITA BIla kubadilisha na nikibadilisha naendelea hivyo hivyo huku nikirundika manguo yawe mengi Ili nije niyafue Kwa pamoja.
Mama anapenda Sana kuingia chumbani kwangu na mara nyingi panakuwa sio pasafi.Basi atanidekia choo na kusafisha chumba changu na kutandika kitanda lakini kinachoniuma kwanini ang'ang'anie kunifulia Mimi ni mtu mzima.
Kuna muda Hadi tunagombana nakasirika na kulia kabisa.Sijui hata nifanyeje anielewe.
Huyu hatakiwi kupewa ushauri.Wakat mwingine tunatumia nguvu nyingi kushauri wapuuzi
Bisa mkuuHuyu hatakiwi kupewa ushauri.
Mtoto wa kiume inakuwaje mpuuzi kiasi hiki? Alafu anakuja mbele ya wanaume kuwaadithia maujinga anayofanya yeye na mamaake.
Stupid kabisa.
Kuna mvulana mwenzie nilikutana nae Mlandizi analalamika kunyolewa mavuzi na mamaake.Basi kama hutaki akufulie toka apo nyumbani......simple like that
hapana shangaz yakeDuuuuh wewe ndio Mama yake mleta mada?