engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
sasa watanzania hawataki mzahaa tena,huyo ni mama mwenye mguu wa kuku tayari kupambana na watekaji popote pale
nimejikuta nacheka mwenyewe, mbona mama mwenyewe kama vile kajisahahu kama ana silaha?
Au limama la Chadema nini ? Wale wanaotaka kujitenga na Tz?
Duh hii kali!! Wapi tunaelekea.
kichwa kama maji, si ajabu avatar yako umegeuza kisogo...!!Au limama la Chadema nini ? Wale wanaotaka kujitenga na Tz?
sasa watanzania hawataki mzahaa tena,huyo ni mama mwenye mguu wa kuku tayari kupambana na watekaji popote pale
mguu wa kuku upo wapi, acha kutupeleka chaka,