Inauma sana aise, mama wa mtoto kafanya kosa kubwa mno:
1. mtu humjui anakutaka muongozane kununua sweta unaenda tu...we hukuona umuhim huo mapema?
2. umenunua sweta sawa, iwaje unadiriki kupanda pikipiki tofauti na mwanao ili hali huyo msamaria uchwara humfaham?
damu yako kweli unaachia kizembe hivi....matapeli wengi huja ma roho ya usamaria ili wakutapeli kirahisi.
Kinamama: Kuweni makini sana wapendwa, si dhani kama kutosoma ni tatizo kwa sababu akili ya maisha ni mtu mwenyewe haitegemei moja kwa moja kusoma...kwani wasomi hawatapeliwi??
Yote kwa yote pole sana kwa familia husika.