Malumbano ya hoja ITV washiriki ni walewale, Why?

Malumbano ya hoja ITV washiriki ni walewale, Why?

Nimefatilia wiki kadhaa sasa kipindi hiki mada tofauti na sura za washiriki ni zilezile, vigezo gani hutumika kuhudhuria?

Kuna Mzee mmoja anajiita Rais (Wa Kudumu??!!) Wa Mchezo wa Bao Tanzania, jina kama Lipwata, huyu toka Malumbano ya Hoja inaanzishwa yuko tu nae mpaka leonnever miss hata siku moja, ni bonge la Gamba.

Pili kuna jamaa mmoja hivi Gamba, ana domo kubwa hivi last week alivaa kanzu nae never miss daily.

Kuna Mzee mwengine wa kichaga mweusi hivi anajifanyaga mwanaharakati, kumbe ni Gamba tu nae never miss kwenye hilo jukwaa. Daily anamwaga pumbatu full chuki aagainst EL mwanzo-mwisho.
 
Kuna Mzee mmoja anajiita Rais (Wa Kudumu??!!) Wa Mchezo wa Bao Tanzania, jina kama Lipwata, huyu toka Malumbano ya Hoja inaanzishwa yuko tu nae mpaka leonnever miss hata siku moja, ni bonge la Gamba.

Pili kuna jamaa mmoja hivi Gamba, ana domo kubwa hivi last week alivaa kanzu nae never miss daily.

Kuna Mzee mwengine wa kichaga mweusi hivi anajifanyaga mwanaharakati, kumbe ni Gamba tu nae never miss kwenye hilo jukwaa. Daily anamwaga pumbatu full chuki aagainst EL mwanzo-mwisho.

Halafu hata kitu chenye maslahi na nchi huwa wanaingiza mapenzi ya chama huwa wananiboa sana bila kumsahau askari mstaafu sijui huwa wanamlipa maskini yarabi manake babu huwa anajitahidi kuwafagilia hata pasipo na uchafu yeye anafagia tu .
 
Kuna mwingine kijana hujiita mchambuzi wa mambo ya fedha na uchumi sijui kuongea kwa kujenga hoja hata hawezi japo kila mara yupo
 
Kuna Mzee mmoja anajiita Rais (Wa Kudumu??!!) Wa Mchezo wa Bao Tanzania, jina kama Lipwata, huyu toka Malumbano ya Hoja inaanzishwa yuko tu nae mpaka leonnever miss hata siku moja, ni bonge la Gamba.

Pili kuna jamaa mmoja hivi Gamba, ana domo kubwa hivi last week alivaa kanzu nae never miss daily.

Kuna Mzee mwengine wa kichaga mweusi hivi anajifanyaga mwanaharakati, kumbe ni Gamba tu nae never miss kwenye hilo jukwaa. Daily anamwaga pumbatu full chuki aagainst EL mwanzo-mwisho.
Haa haa hao watu ni balaa, kuna mama mmoja nae ni mlokole huongea mambo ambayo hayahusiani na mada, yeye anataka maombi kwa yesu tu
 
Askari mstaafu ndo huwa ananikosha....na jamaa mmoja ana domo baya anaropoka ropoka tu...woote magamba wale
 
Haahaahaha kuna mmoja anajiita prof Maganga huyu jamaa anafurahisha sana.
 
Back
Top Bottom