FORCE NAMBA
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 937
- 328
Mpaka leo takriban miezi saba imemalizika tangu mwaka wa fedha ulioanza mwezi july 2015 hakuna dalili zozote za wastaafu kulipwa mafao yao.Chonde chonde wahusika lipeni madai hayo ili watumishi hao wastaafu wayatumie kwa wakati