Malipo ya vipimo kwenye maduka

Taured

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
806
670
Wasaalam naomba kujua nimekuwa nikinunua nafaka maduka ya jumla Mbagala rangi tatu kama vile maharagwe, mchele, mahindi nakadhalika jambo lililosababisha niletee mada hapa ni pale unapopimiwa mzigo halafu unadaiwa hela ya kupima mfano kilo10 utamkuta mpimaji sh 100, kilo 20 Utalipa sh 300 na kama uzito unaongezeka basi na hela itapngezeka! Sasa najiuliza hivi ni halali mambo haya au ni utaratibu upi kisheria unaomlazimu mteja kulipia gharama za vipimo? Je naweza kununua bidhaa bila kupimiwa? Na kama haiwezekani kwa nini nilipie hiyo huduma wakati ni jukumu la mpimaji kufanya hivi?
 
NADHANI NI UTARATIBU WALIOJIWEKEA TU MKUU KWA AJILI YA UENDESHAJI WA HIYO MIZANI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom