NG'WENEKELE Member Joined Mar 7, 2011 Posts 14 Reaction score 0 Sep 11, 2012 #1 Hivi kwani Serikali ina mpango gani wa kuwalipa makarani wa Sensa salio lao baada ya kazi?Tumekubali kufanya siku saba za kizalendo sasa pesa iliyobaki inakuwaje?Sio usanii na uzembe uliosemwa na Mnyika huu?Tunaelekea kuchoka kusubiri.
Hivi kwani Serikali ina mpango gani wa kuwalipa makarani wa Sensa salio lao baada ya kazi?Tumekubali kufanya siku saba za kizalendo sasa pesa iliyobaki inakuwaje?Sio usanii na uzembe uliosemwa na Mnyika huu?Tunaelekea kuchoka kusubiri.
mauro Senior Member Joined Nov 28, 2011 Posts 108 Reaction score 34 Sep 11, 2012 #2 SUBIRI cheki haijatoka STANBIC mkopo wa Serikali kulipa mishahara umekwama.
B Baba Matatizo JF-Expert Member Joined May 5, 2011 Posts 334 Reaction score 64 Sep 11, 2012 #3 HATA SISI HATUJALIPWA na Hata pa kuwadai hatupajui...FROM TBR
BabaDesi JF-Expert Member Joined Jun 30, 2007 Posts 6,214 Reaction score 4,168 Sep 11, 2012 #4 ...Inawezekana pia sio Serikali bali humo njiani zilimopita kila mtu kataka kukata kidogokutahamaki zimekwisha...! Naona muandike maumivu tu!
...Inawezekana pia sio Serikali bali humo njiani zilimopita kila mtu kataka kukata kidogokutahamaki zimekwisha...! Naona muandike maumivu tu!
KOKUTONA JF-Expert Member Joined Jan 29, 2011 Posts 8,651 Reaction score 6,109 Sep 11, 2012 #5 Kumbe mlifanya kazi kwa kukopwa?