Malipo ya Madeni kwa Wafanyakazi wa Umma: May, 2018

Niambieni

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
625
170
Mh. Rais, nakuomba nifikirie ombi langu kwako la kutulipa wafanyakazi wa Umma madeni tunayo yasubiri ya mishahara ya nyuma.

Naomba malipo ya madeni kwa wote yafanyike Mwisho wa Mwezi huu wa tano.

Natanguliza shukurani za dhati.

Wako Mtumishi Mtiifu
 
Wewe hukuwaona wafanyakazi wenzio siku ya kilele cha mei mosi Iringa wakiwa na majonzi kama vile wamefiwa??

Mkulu kasema pesa yote inatengeneza miradi mikubwa na hakuna pesa ya "kuchezea" ya kuwalipa nyongeza ya mishahara wafanyakazi!
 
Wewe hukuwaona wafanyakazi wenzio siku ya kilele cha mei mosi Iringa wakiwa na majonzi kama vile wamefiwa??

Mkulu kasema pesa yote inatengeneza miradi mikubwa na hakuna pesa ya "kuchezea" ya kuwalipa nyongeza ya mishahara wafanyakazi!

Hili ombi ni la kulipwa madeni ambayo wengine walishapewa. Sio nyongeza ya mishahara ya mwaka huu. Bali ni ya nyuma.
 
Hivi siku ile 1/5/2018 kwako hukuwa na umeme? hukuona wala kusikia yaliyoongelewa pale mjini Iringa. Ningejua hata nisingefungua huu uzi. heading ndio imenileta mbio
Ni kweli inauma sana. Kukaa kimya hakusaidii, ni vema tumuombe labda atatusikia.
 
Ni kweli inauma sana. Kukaa kimya hakusaidii, ni vema tumuombe labda atatusikia.
hahaha, angekuwa wakusikia angesikia siku ile.
Hivi hukuona ile kwaya ya Waalimu walivyomwimbia kwa huruma na kuomba nyongeza. hahahahahahahaahahahahhah
 
Watanzania daini katiba mpya na tume huru CCM itoke vinginevyo mtapata tabu Sana
 
Mh. Rais, nakuomba nifikirie ombi langu kwako la kutulipa wafanyakazi wa Umma madeni tunayo yasubiri ya mishahara ya nyuma.

Naomba malipo ya madeni kwa wote yafanyike Mwisho wa Mwezi huu wa tano.

Natanguliza shukurani za dhati.

Wako Mtumishi Mtiifu


Wewe usipopimwa UTI sijui.
 
Ni rahisi zaidi kujenga SGR kila mkoa kuliko kuwalipa watumishi stahiki zao. Waendelee kulimia meno tu.
 
Back
Top Bottom