bwanafundi
Member
- Jan 13, 2011
- 17
- 1
ndugu zangu wanajukwaa hili naomba kwa anaejua namna malipo ya fidia yanavyofanywa kwa mtu ambaye barabara ndilo limemfuata,naomba nipewe utaratibu mzima na bei na vipimio vitumiwavyo na bei zake,nazumgumzia nyumba iliyochorwa (x) inayostahili fidia.asante.