Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,666
- 218,160
- Thread starter
- #21
Watakaokumbwa ni wengi akiwemo muasisi wa mauaji ya Akwilina , DED wa Kinondoni
mambosasa alikiri kwamba risasi ilikunja kona na waliouwa ni police . chakushangaza wanapelekwa mahakamani kina mdee.Watakaokumbwa ni wengi akiwemo muasisi wa mauaji ya Akwilina , DED wa Kinondoni
video za mambosasa za kukiri polisi kuuwa zipo na zitawasilishwa mahakamani kama kielelezo , hasa baada ya Mahakama kuruhusu ushahidi wa video , Mambosasa binafsi atahojiwa na Kibatala , hii kesi imefika patamu mno !mambosasa alikiri kwamba risasi ilikunja kona na waliouwa ni police . chakushangaza wanapelekwa mahakamani kina mdee.
afu jitu linaongea kama fyatu oh sijui kusamehe sijui ujinga gani
Mtabadilisha sana watoto wa viongozi , Kipi Warioba anajua kipondo alichopewaHuyu Sitta ndiye mrithi wa Halima Mdee kule kawe!!
alianza anjela kizigho, chali, akaja kipi warioba chali mara mbili atakuja sitta nae chali labda kwa wizi. mshaurini aende kwa wapuuzi wenzenu kule urambo sio kaweHuyu Sitta ndiye mrithi wa Halima Mdee kule kawe!!
Yule Kippi aliibiwa kura na maruhani wa UKAWA!Mtabadilisha sana watoto wa viongozi , Kipi Warioba anajua kipondo alichopewa
nataka nikuhakikishie jambo moja , uchaguzi wa 2020 utakuwa ni mgumu mno kuliko hata 2015 , hili uliweke kichwani mwakoYule Kippi aliibiwa kura na maruhani wa UKAWA!
kura zilihesabiwa wiki hahaha thithiem wajinga sanaYule Kippi aliibiwa kura na maruhani wa UKAWA!
Hii sindako kali sana kwa kamanda. HahahaMlichotimiza ni kumng'oa Lowassa ccm
Yaani kawe yoyote atakayesimamishwa na CCM anashinda saa 4 asubuhinataka nikuhakikishie jambo moja , uchaguzi wa 2020 utakuwa ni mgumu mno kuliko hata 2015 , hili uliweke kichwani mwako
kwani miaka yote walisimamishwa na chama gani ?Yaani kawe yoyote atakayesimamishwa na CCM anashinda saa 4 asubuhi
Ndio utajua ifikapo 2020!kwani miaka yote walisimamishwa na chama gani ?
namshangaa sanavhuyokura zilihesabiwa wiki hahaha thithiem wajinga sana
au ndio maana wameshirikiana kupiga bil 14 za coco beach ?Historian unakumbuka vyema. Huyu eya alipita sababu ya Makonda kulipa fadhila kwa ukooo wa sitta. Kumbuka mzee sitta amemlea bashiboy Kama mwanae ikiwemo kumlipia ada za chuo Cha ushirika Moshi mpaka kumuingiza serikalini kwa wale wanaovaa kaunda suti
Hebu nikumbushe.... Huo ni mstari Gani ktk injili ya uanaharakati kwenye kanisa la siasaHakuna mwanaccm atakayeuona ufalme wa Mungu
Wamepangana kwiba tu. Mpaka inatia aibu. Kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho. Ujanja ujanja na wizi tu
Ndugu binafsi nadhani uchaguzi utakuwepo 2025 lakini wa mwaka 2020 ni kupitisha tu wala hauna mshikemshike sana maana "Mvinyo ni Ulele itabadilishwa Chupa tuuu"nataka nikuhakikishie jambo moja , uchaguzi wa 2020 utakuwa ni mgumu mno kuliko hata 2015 , hili uliweke kichwani mwako
"Mshahara wa dhambi ni mauti "Hebu nikumbushe.... Huo ni mstari Gani ktk injili ya uanaharakati kwenye kanisa la siasa
Eti huyo ndiyo naibu spika wa bunge la muungano wa Tanzania, yaani ni aibu kubwa sana