hahahahahaaaa,mkuu kina winnie si watu wazuri hawa,always ni shake well before use.Umenichekesha kweli eti mimba zako katoa tena kwa ushawishi wako na bado kakupiga kibuti...halafu huo ulemavu wa kizazi ulomuachia anaenda kuhangaika nao mtu mwengn huko mbele ya safari.
Ahsante.