A
Anonymous
Guest
Katika wilaya ya Malinyi mkoa wa Morogoro tulioajiriwa mwezi wa 6, 2023 idara ya afya hatujalipwa pesa yetu kamili ya kujikimu, DMO, katibu wa afya na chashier wa wilaya wamekuwa watu wa kutupiga danadana kila kukicha.
Tunashangaa idara ya elimu walilipwa kikamilifu ila idara ya afya kuna ujanja mwingi. Tunaomba mamlaka husika iingilie hili jambo ili watumishi wa afya tupate stahiki yetu
Tunashangaa idara ya elimu walilipwa kikamilifu ila idara ya afya kuna ujanja mwingi. Tunaomba mamlaka husika iingilie hili jambo ili watumishi wa afya tupate stahiki yetu