Malimwengu

Malimwengu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,914
Reaction score
831,311
Mana huyu alinaswa akiiba ndizi na baada ya kupigwa sana, alikiri kitendo hicho na kudai watoto wake walikuwa na njaa. Jambo ambalo lilimfanya afanye hivyo.

Umati usio na chembe ya huruma wala tafakuri na wenye kutisha ulimfunga na kumpiga zaidi huku watoto wake wasiojiweza wakilia kwa woga na fadhaa

Kwa nini sisi ni wabaya na wakatili kiasi hiki? Hakuna hata chembe ya huruma. Huu ni upuuzi. Akina mama hupitia mengi kulea mtoto (watoto) tunapaswa kufikiria kabla ya kutenda..!
FB_IMG_1749067503821.jpg
 
Hakuiba ili auze
Hakuiba ili alewe
Hakuiba ili amkomoe mwenye shamba
Hakuiba ili akanunue kitenge

Aliiba ili awaokoe wanae wawili ambao tegemeo laonla pekee ni mama yao

Namuomba Mungu hii picha wanae wasiione watakapoanza kujitambua, kama mimi nisiemfahamu nimeumia itakuwaje kwa wanae??

Hatoi chozi kwa sababu amepigwa na kudhalilishwa

Anatoa chozi kwa sababu matumani ya watoto wake kula wameyeyuka tayari na mbaya zaidi kipigo hakimuumizi yeye bali kinaumiza matumbo ya wanae ambayo hayajapata chakula kwa masaa kadhaa.

My Country People, kuna watu wanatuibia mabilioni ya fedha ili wanunue magari na kupanda ndege 😥😥😥 Why this woman???

Utu uko wapi ndugu zangu, sawa huenda tabia zake kwenye jamii sio njema, huenda ni malaya, huenda ni mlevi
Je, tuwaadhibu wanae kwa makosa ya mama yao. Tule nae kwa upendo kisha tumpe jembe na shamba akalime kwa ajili ya wanae

Hao waliompiga na kumdhalilisha kesho tuko nao kanisani/misikitini au kwenye kahawa tunaipenda serikali kwa kumnyima haki Tundu Lissu, Soka, Mdude lakini sisi tunaiona tuko salama licha ya kumnyima haki mtoto wa mwaka mmoja.

Nikiandika naweza nisimalize ila hii picha najuta kuiona leo, ØffMooD
 
Hakuiba ili auze
Hakuiba ili alewe
Hakuiba ili amkomoe mwenye shamba
Hakuiba ili akanunue kitenge

Aliiba ili awaokoe wanae wawili ambao tegemeo laonla pekee ni mama yao

Namuomba Mungu hii picha wanae wasiione watakapoanza kujitambua, kama mimi nisiemfahamu nimeumia itakuwaje kwa wanae??

Hatoi chozi kwa sababu amepigwa na kudhalilishwa

Anatoa chozi kwa sababu matumani ya watoto wake kula wameyeyuka tayari na mbaya zaidi kipigo hakimuumizi yeye bali kinaumiza matumbo ya wanae ambayo hayajapata chakula kwa masaa kadhaa.

My Country People, kuna watu wanatuibia mabilioni ya fedha ili wanunue magari na kupanda ndege 😥😥😥 Why this woman???

Utu uko wapi ndugu zangu, sawa huenda tabia zake kwenye jamii sio njema, huenda ni malaya, huenda ni mlevi
Je, tuwaadhibu wanae kwa makosa ya mama yao. Tule nae kwa upendo kisha tumpe jembe na shamba akalime kwa ajili ya wanae

Hao waliompiga na kumdhalilisha kesho tuko nao kanisani/misikitini au kwenye kahawa tunaipenda serikali kwa kumnyima haki Tundu Lissu, Soka, Mdude lakini sisi tunaiona tuko salama licha ya kumnyima haki mtoto wa mwaka mmoja.

Nikiandika naweza nisimalize ila hii picha najuta kuiona leo, ØffMooD
Mungu na amnusuru na Hao watesi!
 
Hakuiba ili auze
Hakuiba ili alewe
Hakuiba ili amkomoe mwenye shamba
Hakuiba ili akanunue kitenge

Aliiba ili awaokoe wanae wawili ambao tegemeo laonla pekee ni mama yao

Namuomba Mungu hii picha wanae wasiione watakapoanza kujitambua, kama mimi nisiemfahamu nimeumia itakuwaje kwa wanae??

Hatoi chozi kwa sababu amepigwa na kudhalilishwa

Anatoa chozi kwa sababu matumani ya watoto wake kula wameyeyuka tayari na mbaya zaidi kipigo hakimuumizi yeye bali kinaumiza matumbo ya wanae ambayo hayajapata chakula kwa masaa kadhaa.

My Country People, kuna watu wanatuibia mabilioni ya fedha ili wanunue magari na kupanda ndege 😥😥😥 Why this woman???

Utu uko wapi ndugu zangu, sawa huenda tabia zake kwenye jamii sio njema, huenda ni malaya, huenda ni mlevi
Je, tuwaadhibu wanae kwa makosa ya mama yao. Tule nae kwa upendo kisha tumpe jembe na shamba akalime kwa ajili ya wanae

Hao waliompiga na kumdhalilisha kesho tuko nao kanisani/misikitini au kwenye kahawa tunaipenda serikali kwa kumnyima haki Tundu Lissu, Soka, Mdude lakini sisi tunaiona tuko salama licha ya kumnyima haki mtoto wa mwaka mmoja.

Nikiandika naweza nisimalize ila hii picha najuta kuiona leo, ØffMooD
Hao waliompiga na kumdhalilisha kesho tuko nao kanisani/misikitini au kwenye kahawa tunaipenda serikali kwa kumnyima haki Tundu Lissu, Soka, Mdude lakini sisi tunaiona tuko salama licha ya kumnyima haki mtoto wa mwaka mmoja😭😭😭
 
Mama huyo hakuiba kwa tamaa bali kwa dhiki,, badala ya huruma, ankutana na ghadhabu, badala ya msaada, anapigwa mbele ya macho ya wanawe waliokuwa na njaa na hofu.

Hili si kosa lake tu, ni kushindwa kwa jamii nzima, jamii isiyo sikivu, isiyo na huruma, isiyo fikiria. Tunapaswa kujiuliza, tumekuwa wanyama kiasi gani hadi mateso ya mama na watoto wake yasiamue mioyo yetu?
 
Back
Top Bottom