Nimeona kwenye taarifa TBC serikali imeahidi kumaliza kero za wafanyakazi mwezi Julai. Swali wanafanya hayo kwa ajili ya uchaguzi?
Sasa naamini serikali hii haina nia nzuri na watanzania. Maana ingekuwa na nia nzuri ingekuwa inalipa kwa wakati ili watanzania waendelee kupata huduma bora.
Basi kwa kutufanya wafanyakazi wajinga hiyo ni fursa nzuri kuonyesha hasira zetu kwa serikali kuwa sisi wafanyakazi tuna akili timamu.
Tafakari chukua hatua!
Sasa naamini serikali hii haina nia nzuri na watanzania. Maana ingekuwa na nia nzuri ingekuwa inalipa kwa wakati ili watanzania waendelee kupata huduma bora.
Basi kwa kutufanya wafanyakazi wajinga hiyo ni fursa nzuri kuonyesha hasira zetu kwa serikali kuwa sisi wafanyakazi tuna akili timamu.
Tafakari chukua hatua!