abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
[h=2][/h]
Na Richard Makore
9th May 2o12
Viongozi wa umma 141 wamehakikiwa mali zao ili kubaini kama kulikuwa na udanganyifu wakati wakijaza fomu za mali wanazomiliki pamoja na madeni yao.
Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Afisa Habari wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Johanither Barongo.
Mwaka jana tulikuwa na zoezi la kuhakiki mali za viongozi wa umma na tumefanya kazi hiyo kwa kanda sita, alisema Barongo.
Alisema zoezi hilo lilikwenda vizuri na kwamba muda wowote watatoa kwa umma ripoti ya uhakiki huo.
Hata hivyo, Barongo hakutaka kuingia kwa undani juu ya matokea ya zoezi hilo na kusema kuwa kila kitu kitawekwa wazi kwa umma baada ya ripoti ya pamoja kukamilika.
Alifafanua kuwa katika zoezi hilo sio viongozi wote wa umma waliohakikiwa, bali walichagua baadhi na kwamba hawakupata kikwazo chochote wakati wa zoezi hilo.
Hatukupata kikwazo, tulipata ushirikiano wa kutosha katika maeneo yote tuliyopita na watu wote tuliozungumza nao, alisema.
CHANZO: NIPASHE
0 Maoni | Kuwa wa kwanza kutoa maoni
<a href='http://www.ripoti.com/openx/www/delivery/ck.php?n=a5793a20&cb=INSERT_RANDOM_NUMBER_HERE' target='_blank'><img src='http://www.ripoti.com/openx/www/delivery/avw.php?zoneid=267&cb=INSERT_RANDOM_NUMBER_HERE&n=a5793a20' border='0' alt='' /></a>
Habari Zaidi
[h=3]Articles[/h]Mawaziri watema cheche
Ripoti sakata la Blandina Nyoni yatua kwa JK
Waliofukuzwa watofautiana, wengine `bubu`
Mbowe akosoa uteuzi wa mawaziri
Aachwa na mume kwa kuzaa watoto wa ajabu
Na Richard Makore
9th May 2o12
Viongozi wa umma 141 wamehakikiwa mali zao ili kubaini kama kulikuwa na udanganyifu wakati wakijaza fomu za mali wanazomiliki pamoja na madeni yao.
Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Afisa Habari wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Johanither Barongo.
Mwaka jana tulikuwa na zoezi la kuhakiki mali za viongozi wa umma na tumefanya kazi hiyo kwa kanda sita, alisema Barongo.
Alisema zoezi hilo lilikwenda vizuri na kwamba muda wowote watatoa kwa umma ripoti ya uhakiki huo.
Hata hivyo, Barongo hakutaka kuingia kwa undani juu ya matokea ya zoezi hilo na kusema kuwa kila kitu kitawekwa wazi kwa umma baada ya ripoti ya pamoja kukamilika.
Alifafanua kuwa katika zoezi hilo sio viongozi wote wa umma waliohakikiwa, bali walichagua baadhi na kwamba hawakupata kikwazo chochote wakati wa zoezi hilo.
Hatukupata kikwazo, tulipata ushirikiano wa kutosha katika maeneo yote tuliyopita na watu wote tuliozungumza nao, alisema.
CHANZO: NIPASHE
0 Maoni | Kuwa wa kwanza kutoa maoni
<a href='http://www.ripoti.com/openx/www/delivery/ck.php?n=a5793a20&cb=INSERT_RANDOM_NUMBER_HERE' target='_blank'><img src='http://www.ripoti.com/openx/www/delivery/avw.php?zoneid=267&cb=INSERT_RANDOM_NUMBER_HERE&n=a5793a20' border='0' alt='' /></a>
Habari Zaidi
[h=3]Articles[/h]Mawaziri watema cheche
Ripoti sakata la Blandina Nyoni yatua kwa JK
Waliofukuzwa watofautiana, wengine `bubu`
Mbowe akosoa uteuzi wa mawaziri
Aachwa na mume kwa kuzaa watoto wa ajabu