Wendelin Mkolwe
Member
- Jan 16, 2017
- 8
- 6
Mpaka sahivi unatoa? Kama unatoa nichecki kwa no 0764351440ngoja niombe likizo niku pm are sure?u can?
Kuna bibi ana stove 2 mkoani NjombeSasa basi Mimi ni mkazi WA dar es salaam... NAKUHAKIKISHIA Wewe uliyemakini na unajua kweli unamali za kijeruman aidha Wewe unamiliki au ndugu yako rafiki yako au kuna mtu unaemjua anamiliki Iwe ni FUFUMARK, MERCURY YAN MAJI MEKUNDU AU NJANO AU MEUSI, KOROFINDO, RUPIA YA SIMBA WAWILI, KUFULI , JIKO, CHEMLI, RUPIA YA KITUMBUA, PASI, DINALI, SHILLING MOJA YA MWAKA 1978 NA 1979 , MAJI YA KIZA, CHOMBO CHOCHOTE CHA KIJERUMAN NEMBO NA MAJARIBIO YAKE YAFAULU BASI tajiri Anaechukua hvyo vitu Yupo Hapa dar es salaam ni WA uhakika na anavibali vyote na utapewa sadaka au Zawad yako bila matatizo yeyote(kumbuka hii ni sadaka na si biashara hivi vitu Vina majin na ni vya kifalme hvyo hatutumii neno biashara au kuuza) tuwasiliane Kwa namba 0716637717 au 0769767771 naomba uwe Tayar kuja dar na si vinginevyo wasumbufu na nmatapeli najua mnaisoma hii tafadhali kaeni mbali.. Msituharibie watu tuliomakin na tunaojua nnn tunafanya
Mabibi wanakuwa na hivyo vitu vya ajabu vya Kijerumani na huwa wanakuwa wachawi pia.Kuna bibi ana stove 2 mkoani Njombe
Tuwasiliane unionyeshe utaratibu wa kufungua ninaoUko msitu huku tanga wakati unakatiza zipo alama nyingi zimechorwa ktk mawe na miti zikionyesha uelekeo wa kufuata,unapojaribu kufuata mwishowe hukutana na zege kubwa lililomiminwa kwa ufundi wa hali ya juu na alama kama ya w zilizoumana,lazima kutakuwa na kitu si bure
mali zipo ishu kuzitoHi bro uhakika bado hauko
Kweli tunaambiwa kuna mali nyingi za thamani kubwa walakin mengi au wengi wao ni wazushi mimi huwa nafatilia sana hz sehemu walakin sijawahi kuona yoyote kati ya hao alifanikiwa. Nadhani ni hadithi tu na uhakika bado hauko
ngoja niombe likizo niku pm are sure?u can?
mkuu hizi habari kweli ila wale jamaa wameroga sana,unaweza ukafuatilia ukikaribia kufanikiwa unaghairi kumaliizia kazi au mkagombana wenyewe kwa wenyewe ,wamepumbaza sana ila amin tu wazungu wachawi sana.
Uko msitu huku tanga wakati unakatiza zipo alama nyingi zimechorwa ktk mawe na miti zikionyesha uelekeo wa kufuata,unapojaribu kufuata mwishowe hukutana na zege kubwa lililomiminwa kwa ufundi wa hali ya juu na alama kama ya w zilizoumana,lazima kutakuwa na kitu si bure
ha ha ha / some time maisha inabidi kurisk life maana manake unaona bila kufanya ujasiri utateseka mpaka lini?Wengi walikuwa wanatumia biblical signs kama wahispania na wagiriki
Wajerumani wametumia ishara za compass
Inataka akili kubwa kuelewa Mali zilipohifadhiwa
Zipo sehemu nyingi duniani na moja iliyonishangaza sana ni wale wapambanaji walioenda kutafuta mali huko kwenye kisiwa cha majoka Ilha da Queimada Grande huko Brazil
Kisiwa ambacho nyoka wamejaa kiasi ambacho kila hatua unayopiga unaona nyoka aidha chini au juu ya miti
Lakini bado jamaa wakaendelea kutafuta na kufuata ishara zote
Hawakufanikiwa ingawa waliamua kulala hapohapo kisiwani kwenye majoka
Usiku kuna nyoka walikuwa wakianguka toka juu ya miti yaani ilikuwa ni tafrani tupu na yote hiyo ni kutafuta utajiri
Wachawi wa huku wanacho kifanya wazungu walipitia miaka ya 1500 iliyopita..!Unapajua twende unipeleke kijana
ha ha ha / some time maisha inabidi kurisk life maana manake unaona bila kufanya ujasiri utateseka mpaka lini?
Bro izo kufuli za kwenye mkebe zikojeVP rupia na baadhi ya kufuli za na shilling za zaman nazo zinadili?
Baba alipofariki nilikuta limkebe kubwa amehifadhi mazaga hayo
Baada ya msiba kuisha nikaona vijana wanakuja kuulizia
Umezishuhudia?na je ana masharti gan?Kuna bibi ana stove 2 mkoani Njombe