Mali ya Julias Malema kupigwa mnada Afrika Kusini

Mali ya Julias Malema kupigwa mnada Afrika Kusini

KZJ

Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
45
Reaction score
2
HABARI WANA JAMII,Julias Malema aliye kuwa kiongozi wa vijana wa chama tawala South Africa mali zake nyingi pamoja na jumba la kifahari vina pigwa mnada kwa sababu ya yeye kushindwa kulipa kodi (alikwepa kodi).

Je kuna uwezekano wa kutofautisha pesa na siasa! wanasiasa wengi ni matajili na wana piga kelele za kutetea masikini,naomba uchambuzi wa kutenganisha siasa na pesa.KARIBU.​
 
HABARI WANA JAMII,julias malema aliye kuwa kiongozi wa vijana wa chama tawala south africa mali zake nyingi pamoja na jumba la kifahari vina pigwa mnada kwa sababu ya yeye kushindwa kulipa kodi(alikwepa kodi).

Je kuna uwezekano wa kutofautisha pesa na siasa! wanasiasa wengi ni matajili na wana piga kelele za kutetea masikini,naomba uchambuzi wa kutenganisha siasa na pesa.KARIBU.​
Kuna mambo mawili; inawezekana malema wanamuhujumu ili kumuua kisiasa; au alikuwa anafanya ufisadi wakati alivyokuwa na madaraka kwa hiyo alivyovuliwa kafilisika.wanasiasa wakati fulani wanashangaza kidogo.unashangaa mtu anaanza uongozi kutokea nyumba ya kupanga lakini baada ya miaka 2 ana nyumba ya millioni 800! jiulize kazipata wapi?
 
  • Thanks
Reactions: KZJ
Kuna mambo mawili; inawezekana malema wanamuhujumu ili kumuua kisiasa; au alikuwa anafanya ufisadi wakati alivyokuwa na madaraka kwa hiyo alivyovuliwa kafilisika.wanasiasa wakati fulani wanashangaza kidogo.unashangaa mtu anaanza uongozi kutokea nyumba ya kupanga lakini baada ya miaka 2 ana nyumba ya millioni 800! jiulize kazipata wapi?

Kuna ka kamchezo kakufikiria kwamba vijana wanaonewa. kama anaonewa ajustify namna alivyopata hizo mali, hata hapa nyumbani kuna tuvijana fulani hivi tufisadi alafu tunategemea sympath ya wananchi, we unafikiri kila mtu akianza kuiba vitu vitatosha si tutauana bure, let him face the justice.
 
HABARI WANA JAMII,julias malema aliye kuwa kiongozi wa vijana wa chama tawala south africa mali zake nyingi pamoja na jumba la kifahari vina pigwa mnada kwa sababu ya yeye kushindwa kulipa kodi(alikwepa kodi).

Je kuna uwezekano wa kutofautisha pesa na siasa! wanasiasa wengi ni matajili na wana piga kelele za kutetea masikini,naomba uchambuzi wa kutenganisha siasa na pesa.KARIBU.​

"Visasi na Kufanyiziana" ndio siasa zetu za Afrika. ANC hii ya leo ya Zuma haina tofauti na CCM ya Kikwete. South Africa inaelekea sisi tulipo leo. Wameachiwa nchi na wazungu ikiwa mambo safi, lakini siasa za majitaka zinaichakachua nchi ile kila kukicha. Zuma kendelea kubakia madarakani ni janga la kitaifa kule South Africa kama vile Kikwete kuendela kuwepo madaraka nchini Tanzania.
 
Wanaleta tabia zao za kibongo nchi za watu!
Wa TZ kwa ujanja ujanja haya sasa.
 
Back
Top Bottom