Malezi...Step Parenting.

Mbu hongera sana.........kuna mdada mmoja jamani nilikutana naye some kama nakumbuka vizuri mwezi June mwishoni. She said kuwa anatoa njia ya namna ya kupata mtoto umtakaye na hiyo formula yake ilishatestiwa KCMC kama sikosei na ikaprove 98%. Alinipaga namba yake nafikiri.
Na ile ya kichina je, ambayo unaangalia age ya mke na siku za kukutana kuna wifi yangu katumia kupata watoto wake kwa jinsia anayotaka, umeshaisikia?
 
Husninyo yaani inashangaza sana kusema ukweli. Ila mie nilipataga experience ya ajabu sana but nadhani baadae nilikuja kuelewa kuwa inawezekana inatokana na uwoga ulioathiriwa na hizi hisia. My Ex had a baby way long , na hata tulipokutana alikuwa anaogopa kusema but after knowning ikaanza safari ndefu ya kumshawishi amchukue (she was living na bibiake mzaa mama kijijii since her mum was married na anaishi nje ya nchi)....It wasnt easy kumconvince so mwisho tukakubaliana ampeleke Boarding........... uamuzi ambao nlikujaujutia. But am glad kwa mchango nlotoa.
<br />
<br />
nafikiria wanaume wanakosea sana wanapoficha watoto waliozaa.
Wawe wakweli maana wanapoficha wanaonesha hawapo proud na watoto wao kwahyo ni ngumu hata kwa mama mpya kumpenda mtoto labda awe na roho ya tofauti kama yako.
Mwanamke anapogundua mtoto wa nje wakati mwanaume alimficha hupata hasira na inakuwa rahisi kujenga chuki kwa mtoto.
Kuna rafiki yangu aligundua mpenzi wake ana watoto wawili. Alipogundua mtoto wa kwanza alikuwa mwepesi kusamehe maana mtoto alizaliwa kabla hawajaanza mahusiano. Mtoto wa pili alikuwa amezaliwa wakati tayari wapo kwenye mahusiano. Ilikuwa ngumu kuendelea.
 
Back
Top Bottom