Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
Wana JF-MMU!
Nitafurahi kama nitapata ushauri wa malezi ya mtoto wa kiume mwenye miaka 10.
Mimi ni single mama wa huyo kijana.
Swala ni kuhusu elimu ya mtoto huyo, ni kijana mwenye akili sana (najua kila mzazi mtoto wake ana akili) na anatarajia kumaliza elimu ya msingi mwezi July mwaka huu.
Sasa swali langu ni, je aendelee na shule ya upili mwezi Sept mwaka huu akiwa na miaka 10 na miezi 8? Au nimrudishe nyuma kidogo. Dilema yangu ni kwamba, katika umri huo ni vizuri kuendelea na masomo ya sekondari au namkuza kabla ya umri?
Maendeleo yake ya shule ni mazuri anakuwa among the top 5 darasani kati la watoto 20-22, na ndoto yake ni kuwa engineer. Nikimrudisha nyuma mwaka mmoja itaniathiri financially kwani kipato changu si kikubwa sana (gharama ya mwaka ni kama 4.5m), na pia nina watoto wa ndugu zangu wengine wanahitaji msaada wangu.
So kufupisha story; ni madhara gani mtoto wa umri huo akienda sekondari?
Naamini kuna wataalamu wengi humu ndani waweza nisaidia!
Nitafurahi kama nitapata ushauri wa malezi ya mtoto wa kiume mwenye miaka 10.
Mimi ni single mama wa huyo kijana.
Swala ni kuhusu elimu ya mtoto huyo, ni kijana mwenye akili sana (najua kila mzazi mtoto wake ana akili) na anatarajia kumaliza elimu ya msingi mwezi July mwaka huu.
Sasa swali langu ni, je aendelee na shule ya upili mwezi Sept mwaka huu akiwa na miaka 10 na miezi 8? Au nimrudishe nyuma kidogo. Dilema yangu ni kwamba, katika umri huo ni vizuri kuendelea na masomo ya sekondari au namkuza kabla ya umri?
Maendeleo yake ya shule ni mazuri anakuwa among the top 5 darasani kati la watoto 20-22, na ndoto yake ni kuwa engineer. Nikimrudisha nyuma mwaka mmoja itaniathiri financially kwani kipato changu si kikubwa sana (gharama ya mwaka ni kama 4.5m), na pia nina watoto wa ndugu zangu wengine wanahitaji msaada wangu.
So kufupisha story; ni madhara gani mtoto wa umri huo akienda sekondari?
Naamini kuna wataalamu wengi humu ndani waweza nisaidia!