Malezi kwa mtoto wa kiume!

Kaunga

JF-Expert Member
Nov 28, 2010
12,530
13,469
Wana JF-MMU!

Nitafurahi kama nitapata ushauri wa malezi ya mtoto wa kiume mwenye miaka 10.

Mimi ni single mama wa huyo kijana.
Swala ni kuhusu elimu ya mtoto huyo, ni kijana mwenye akili sana (najua kila mzazi mtoto wake ana akili) na anatarajia kumaliza elimu ya msingi mwezi July mwaka huu.

Sasa swali langu ni, je aendelee na shule ya upili mwezi Sept mwaka huu akiwa na miaka 10 na miezi 8? Au nimrudishe nyuma kidogo. Dilema yangu ni kwamba, katika umri huo ni vizuri kuendelea na masomo ya sekondari au namkuza kabla ya umri?

Maendeleo yake ya shule ni mazuri anakuwa among the top 5 darasani kati la watoto 20-22, na ndoto yake ni kuwa engineer. Nikimrudisha nyuma mwaka mmoja itaniathiri financially kwani kipato changu si kikubwa sana (gharama ya mwaka ni kama 4.5m), na pia nina watoto wa ndugu zangu wengine wanahitaji msaada wangu.

So kufupisha story; ni madhara gani mtoto wa umri huo akienda sekondari?
Naamini kuna wataalamu wengi humu ndani waweza nisaidia!
 
Mh! kwa kweli umri wake bado mdogo sana, mimi nadhani inategemea na shule ailiyosoma na malezi aliyoyapata huko yana maadili gani na atakayosoma, hata hivyo ili umpeleke kidato cha kwanza wewe ndiye mwalim wa kwanza, kwani utamuona tu kama anafaa kupelekwa kidato cha kwanza au umrudishe hata kama ana uwezo kiakili. Mpime mwenyewe kwanza kama anaweza kuendana na watoto wakubwa wa level hiyo au ana utoto fulani. Vile vile kama unaamua kumpeleka shule, muombee sana sana na mpe msingi wa neno kabla hajaaza shule ili angalau ajue kumuomba Mungu hata anapopatwa na magumu ajue msaada wake mkubwa ni Mungu
 
Mh! kwa kweli umri wake bado mdogo sana, mimi nadhani inategemea na shule ailiyosoma na malezi aliyoyapata huko yana maadili gani na atakayosoma, hata hivyo ili umpeleke kidato cha kwanza wewe ndiye mwalim wa kwanza, kwani utamuona tu kama anafaa kupelekwa kidato cha kwanza au umrudishe hata kama ana uwezo kiakili. Amezoea kukaa na wakubwa zaidi, akiwa likizo hapendi kucheza na watoto umri wake, bali hupenda kukaa na kampani zangu hata colleagues wangu. Hii pia huwa yanipa wasiwasi. Hivyo kuweza kukaa na wakubwa hainipi shida sana, kinachonisumbua is it a right thing to do?
Mpime mwenyewe kwanza kama anaweza kuendana na watoto wakubwa wa level hiyo au ana utoto fulani. Vile vile kama unaamua kumpeleka shule, muombee sana sana na mpe msingi wa neno kabla hajaaza shule ili angalau ajue kumuomba Mungu hata anapopatwa na magumu ajue msaada wake mkubwa ni Mungu. Hili nitalifanyia kazi, kweli naona umuhimu wa yeye kuanza kuwa na mahusiano na Mungu ya moja kwa moja! Asante sana Aine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom