Malema expelled from ANC

Yombayomba

JF-Expert Member
Aug 23, 2006
818
214
Malema expelled from ANC

Sapa | 29 February, 2012 22:09
10-02-2012-16-02-00-673mdf25944.jpg
Suspended ANC Youth League President Julius Malema.
Image by: SIPHIWE SIBEKO / Reuters

Save & Share



ANC Youth League president Julius Malema has been expelled from the ANC, the party's national disciplinary committee (NDC) chairman Derek Hanekom said on Wednesday evening.

"Cde Julius Malema is expelled from the ANC," the NDC said in a statement.
Malema could appeal this sanction within 14 days.
Youth league secretary general Sindiso Magaqa's membership was suspended for three years. This sanction was suspended for three years, but would kick in if he was found guilty of misconduct in terms of the ANC constitution during the period of suspension.
League spokesman Floyd Shivambu's membership was suspended for three years.
"This sanction is applicable to cde Shivambu's membership of the ANC Youth League. Consequently, he shall vacate his position as a member of the national executive committee of the ANC Youth League."
He could also appeal the sanction within 14 days.
 
huyu mtoto wamemuweza sasa hii???maana alianza kuwaogopesha sana na akawa anaonekana hakamatiki,nadhani huu ni mfano kwa ccm na lowassa wao wanavtomuendekeza mpaka anaonekana ni mkubwa kuliko chama,malema pia alionekana hivyo lakini kwa kuwa ANC walipiga moyo konde wakasema potelea mbali liwalo na liwe acha chama kiwagawanyika lakini kuendelea kukaa na hiki kimeta.
 
huyu mtoto wamemuweza sasa hii???maana alianza kuwaogopesha sana na akawa anaonekana hakamatiki,nadhani huu ni mfano kwa ccm na lowassa wao wanavtomuendekeza mpaka anaonekana ni mkubwa kuliko chama,malema pia alionekana hivyo lakini kwa kuwa ANC walipiga moyo konde wakasema potelea mbali liwalo na liwe acha chama kiwagawanyika lakini kuendelea kukaa na hiki kimeta.

Unajua ilipotokea umoja wa vijana mkoa wa Pwani, kutangaza kuwa Raisi anayekuja hawezi kutoka mikoa ya kaskazini kamwe, mimi nilishtuka saana, nani kawatuma kusema cha ajabu mpaka leo hakuna chama kilipowakemea. Ni aibu tubpu yaani wanataka kuligawa taifa na chama kinashindwa kuwaadhibu? Viongozi wa juu wa UVCCM Pwani walitakiwa kufukuzwa mara moja
 
Back
Top Bottom