Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Dec 5, 2011 #1 Malecela na Lowasa watembelea banda la ofisi ya waziri mkuu katika maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru..pamoja sana
Malecela na Lowasa watembelea banda la ofisi ya waziri mkuu katika maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru..pamoja sana
Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,049 Dec 5, 2011 #2 Heehee! Kamanda wa vijana umri umekwenda!!
driller JF-Expert Member Aug 25, 2011 1,116 240 Dec 5, 2011 #3 mzee lowasa kama inamuuma flani hivi...! anaonekana kusema daaah ingekua ni mimi hapa hawa jamaa wa magamba wamenifanyia kitu mbaya sana hawa..!
mzee lowasa kama inamuuma flani hivi...! anaonekana kusema daaah ingekua ni mimi hapa hawa jamaa wa magamba wamenifanyia kitu mbaya sana hawa..!