hivi na kingunge yupo?
Mkuu hii haimzuii kuwemo kwenye kamati ya wazee. Kimaadili ni kwamba wakifikia kujadili jina la mtoto wake basi wanamwomba awapishe, ndo utaratibu.
Taratibu; msimuue mzee wa watu mapema kwa msongo.Huyu namtegemea sana katika kuelekeza shingo ya edo kibla. Mbona mwenyekiti naye ana mtoto wa baba yake mzee mrisho kikwete naye akatazwe
kama anaweza kutusaidi kumpata rais
1, mchapa kazi
2 asiyependa makundi na urafiki kazini
3, mkweli
4, asiye na kashifa
5 asiye fisadi
6, mwenye uwezo wake binafsi kuongoza sio kutegemea marafiki,
7, asiya mbaguzi
8, mwadirifu
9, asiyependa visasi
10,anayeheshimu viongozi wake.
basi acha awepo anaweza kusaidi kumpata mtu safi maana anaweza kuvivaa viatu vya nyerere katika kufanya amaamuzi,
Sasa kama majadiliano mengine, kuhusu wagombea wengine, yanaweza kumbufaisha mtoto wake, hapo itakuwaje?
Kimsingi majadiliano yoyote yanaweza kumnufaisha mtoto wake.
Malevela alitakiwa kukataa kuhusiana na vikao hivi, kwa sababu ana conflict if interest.
Mkuu ukisema hivyo, Safari Ya Matumaini inageuka kuwa Safari Ya Maombolezokama anaweza kutusaidi kumpata rais
1, mchapa kazi
2 asiyependa makundi na urafiki kazini
3, mkweli
4, asiye na kashifa
5 asiye fisadi
6, mwenye uwezo wake binafsi kuongoza sio kutegemea marafiki,
7, asiya mbaguzi
8, mwadirifu
9, asiyependa visasi
10,anayeheshimu viongozi wake.
basi acha awepo anaweza kusaidi kumpata mtu safi maana anaweza kuvivaa viatu vya nyerere katika kufanya amaamuzi,
Sasa kama majadiliano mengine, kuhusu wagombea wengine, yanaweza kumbufaisha mtoto wake, hapo itakuwaje?
Kimsingi majadiliano yoyote yanaweza kumnufaisha mtoto wake.
Malevela alitakiwa kukataa kuhusiana na vikao hivi, kwa sababu ana conflict if interest.
Kingunge hafai kwa kila kitu.
wadau inakuaje malecela anaingia kwenye kikao cha wazee wakati tayar kuna Conflict of interest kwan binti yake yupo kwenye mchuano
naomben mnisaidie kwa hili