Malecela na kamati ya wazee

Malecela na kamati ya wazee

huyu mzee Alisha badili dini na kuwa mwislam akihaidiwa maburungutu ya dollar is Hopeless man!!!
 
Mkuu kwa akili ndogo tu huhitaji kuumiza kichwa kuwa mtoto wa Malechela hawezi kupitishwa kwa namna yoyote ile, jamaa si wajinga kiasi hicho. Yuko pale kuongeza pesa za chama tu basi. Kwahiyo acha mzee awemo ili aongeze nguvu ya kumwondoa mapema fisadi Lowasa.

Mtoto wa Malecela kupitishwa au kutopitishwa si issue.

Issue ni Malecela kuwa katika vikao hivyo wakati ana conflict of interest.

Matokeo ni muhimu, process inayotoa matokeo ni muhimu pia.

Umeelewa?
 
Hii kamati ina uwezo wa kukata jina lolote?
 
Hii kamati ina uwezo wa kukata jina lolote?

Wanasema itafyeka majina na kubakiza 10. CC itafyeka ibakize watano. NEC itafyeka ibakize 3. Hao watatu mkutano mkuu ndio utafanya yao.

Hivi ndivyo nilivyosikia, sina uhakika.
 
  • Thanks
Reactions: RR
fanyen yoote tunawasubiri mtaemleta tunaamini msafi alikua mmoja na alishasusa fomu kutokana na kushindwa kutoa rushwa.tukutane OCTOBER
 
Mkuu kwa akili ndogo tu huhitaji kuumiza kichwa kuwa mtoto wa Malechela hawezi kupitishwa kwa namna yoyote ile, jamaa si wajinga kiasi hicho. Yuko pale kuongeza pesa za chama tu basi. Kwahiyo acha mzee awemo ili aongeze nguvu ya kumwondoa mapema fisadi Lowasa.

Kuongeza pesa za chama na kuingia rasmi kwenye chama. . . . .Naona maisha ya "profesheni" yamemchisha labda . . . . .na inawezekana hapendi "mama nibebe" kaamua kuingia hapo kwenye mgaagaa na upwa. . . . . .Come next season. . . .
 
Mtoto wa Malecela kupitishwa au kutopitishwa si issue.
Issue ni Malecela kuwa katika vikao hivyo wakati ana conflict of interest.
Matokeo ni muhimu, process inayotoa matokeo ni muhimu pia.
Umeelewa?

Mkuu hiyo kitu ni kama haipo katika dunia hiyo. Mambo ya fairness, conflict of intesrest, nepotism. . . . . . .Kamusi ya ile nchi haina hayo maneno
 
Back
Top Bottom