RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,388
Tatizo la kina Mary Chatanda kutoa matamko yasiyo na staha ni kwa vile hawajui boss wao ana msimamo gani kwenye swala husika.
Inawezekana wanajua kuwa mwenyekiti wao hawezi kundesha jahazi kinyume na uelekeo wa upepo. nahuu ndio udhaifu wa kiongozi wetu.
Hatujui anaamini nini ndio maana hawa makatibu wanasimama na kuongea utumbo hadharani.
CCM wepesi wa kusahau maana ni majuzi tu walikuwa wanakutana na viongozi wa kikristo kwa siri na kuwaambia waislam hawatampa kura kikwete watampa Professor. Walitaka sympathy ya wenye majoho leo wanawakashfu hadharani.
Wallah nawaambia CCM lazima iwaangukie maaskofu iwe kwa siri ama hadharani. Hakuna aliyeshindana na watumishi wa Mungu na akashida, HAYUPO!!!!!!!!!!!
Inawezekana wanajua kuwa mwenyekiti wao hawezi kundesha jahazi kinyume na uelekeo wa upepo. nahuu ndio udhaifu wa kiongozi wetu.
Hatujui anaamini nini ndio maana hawa makatibu wanasimama na kuongea utumbo hadharani.
CCM wepesi wa kusahau maana ni majuzi tu walikuwa wanakutana na viongozi wa kikristo kwa siri na kuwaambia waislam hawatampa kura kikwete watampa Professor. Walitaka sympathy ya wenye majoho leo wanawakashfu hadharani.
Wallah nawaambia CCM lazima iwaangukie maaskofu iwe kwa siri ama hadharani. Hakuna aliyeshindana na watumishi wa Mungu na akashida, HAYUPO!!!!!!!!!!!