Malawians Panic over Tanzania’s War Threats

Nimegundua kuwa Wamalawi pia wana hofu sana na vita, just like we are.
Kuna jamaa amesema kuwa tuwapige Malawi lkn tuhakikishe kwetu kunakuwa na minimum loss. Hakuna sababu ya kuwa hatana minimum Loss ya maisha ya watu. Ni nani ambaye akifariki inakuwa ni minimum loss?
Tuache ushabiki kwa vile tunaishi mbali na Z.Nyasa na Mbeya kwa ujumla.

basi wapeni ziwa lote kama mnaogopa vita!
 
Wala wasi panic no war!
Kwanza na washangaa watu kushabikia vitu!

Hili jambo limalizwe kwa maongezi mwenye haki yake apewe
 
Tukikubali ujinga huu wa Malawi mipaka yote ya katika maji matatizo yataanza.
 
Mkijifanya wastaarabu mjue nchi ya tanzania haipo. Basi wachaga, wahehe, wanyamwezi nk watadai nchi yao. Na azanzibar 10 km to shore of india ocean was under sulatanete matbaki na nini. Aka wakubali uwe katikati tuingie mkataba kama wa madini wawe wanatupa 3 mrahahaba kwisha kazi
 
ina maana hata kusafiri kwa meli kati ya kyela na mbamba bay vyombo vyetu vinakuwa vinaingia malawi? it does not make sense!

Kuna logic hapa maana kuna vyombo vyetu vingi vya usafiri vinatumia hilo ziwa walichukua hatua gani kuvizuia kama Ziwa Nyasa ni la kwao, japokuwa sijafika ila nasikia kuna vivuko pia meli kama MV Songea na mitumbwi ya wavuvi
 
ina maana hata kusafiri kwa meli kati ya kyela na mbamba bay vyombo vyetu vinakuwa vinaingia malawi? it does not make sense!

[QwUOTE=chitambikwa;4396607]vipi mkichota maji na kunywa mtatozwa ushuru?[/QUOTE]
Hapo ndio natamani hata sijui nimfanyie nini huyu mama Banda Joyce.
 
ngumi zinadumisha heshima,...sabanu,uwezo na nia tunavyo....
 
Hamna anayeshabikia vita membe kawaambia waache tafiti mpaka turudi kwenye mazungumzo wao hawataki wanasema wapo tayari kwa lolote alafu unasema hamna haja ya vita . Nyie wamalawi we are going to eat you,fck you and kick your fcking ess tanzania people no wory ma brotho sit back and enjoy the show and jk lets go and kick som ass hatutaki shobo hapa
 
Malawi hamna haja ya kupeleka jeshi, Chukua wakina Mura kumi mpaka ishirini kwanza wakafanye kazi hiyo. Wasiposikia Tunapeleka job seeker wote waliokosa ajira ya sensa wakaanzie ajira yao hapa, shenzi type hawa Malawi
 
kwa hiyo the whole lake tanganyika belongs to tanganyika?...dah

Nakupata mkuu! Kama suala ni mkataba huo wanaoutaja basi ziwa la Tanganyika ni la kwetu lote! na maana yake ni kuwa Rwanda na Burundi ni sehemu ya mikoa ya Tanganyika (au Tanzania mkipenda).

Mmmh - haya mafuta yatatuletea shida!
 
Acha woga gangamale.

Khaaaa,tz tuna vitu vingi sana vya kunufaisha nchi,uranium na tanzanite ni hazina tosha achaneni na mafuta,kama mafuta yapo znz,kama tunahofia shughuli za wa-tz za uchumi ziwani tuwataftie kazi mbdala hata kuanzisha big plantation,waachieni wamalawi ziwa lao,hela ya kuwalipa walimu na ma-dr hakuna,si mnataka kutufilisi hata hichi kidogo tulichonacho? Vita ni fedha nyie dhaifu!
 
Wakati wanasiasa wanalumbana (na kutishia kupigana) kwa sababu ya mafuta/gesi ya Ziwa Tanganyika/Nyasa, WANAHARAKATI WA MAZINGIRA KUTOKA PANDE ZOTE MBILI TUPINGE SHUGHULI ZOTE ZA UTAFUTAJI NA UCHIMABAJI MAFUTA/GESI - MADHARA YA KIIKOLOJIA YATAWAATHIRI VIUMBE HAI NDANI NA KANDO KANDO YA ZIWA. TUKATAE UTAFUTAJI NA UCHIMBAJI MAFUTA/GESI KWENYE ZIWA HILI.
 
if you weigh malawi's evidence and ours you can tell yourself(though hard to accept)"this lake belongs to malawi"!!they have a strong evidence to beat us should the matter go to international bodies..it's only my perspective don't crucify me.
 
please let's stop warmongering. vita isikie kwa jirani. Madhara ya vita ni makubwa mno! Tutumie busara na hekima.
 
Nitajiunga kwenye hiyo vita, kama watoto wa mafisadi watakuwemo jeshini. Kinyume cha hapo mie simo..!!! Sitaki kutolewa chambo kwa manufaa ya wachache.
 
Back
Top Bottom