Hapo hakuna karate, ni watu wanaoigiza kung fu ambayo hata hivyo hawaijui vizuri,Mkuu unaifahamu karate vizuri?
HahahahahaNikija na style zangu za Capoera paranaue hachomoki mtu hapo.....yani nikiruka muele then nikazunguka ahmada kisha nikapiga mealua de frente habaki mtu hapo