Malawi kupiga marufuku 'kupumua'?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,298
33,083
Malawi kupiga marufuku 'kupumua'?


110204064606_sp_fart_226i.jpg
Malawi kukataza watu kujamba?


Mzozo umezuka nchini Malawi kufuatia mapendekezo kutaka kufikishwa bingeni kuhusu kujamba, kuwa ni kosa.
Waziri wa sheria wa Malawi, George Chaponda amesema muswada huo utakaojadiliwa kuwa sheria ndani ya bunge wiki ijayo, utapiga marufuku kabisa kwa mtu kufanya haja hiyo hadharani. Waziri huyo amekiambia kituo kimoja cha radio nchini humo- kwa maneno yake - "nenda chooni kama unajisikia kujamba".
Hata hivyo mkuu wa wanasheria nchini Malawi Anthony Karanga amesema kufanya haja hiyo hakufikii kuharibu hali ya hewa kiasi cha kuwa kosa la jinai.
Mwandishi wa BBC nchini humo anasema wananchi wa Malawi wanajiuliza mapendekeo ya sheria hiyo, iwapo itapitishwa, itatekelezwaje.

Chanzo: http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011/02/110204_farting_malawi.shtml?s
 
Dah nimeiona hii, sasa ushahidi utakuwa mgumu endapo mswada utapita

Mtu akijamba hewa inaisha mda mfupi ila mtu akila mayai ya kuchemsha na njegere huyo akijamba duh nibalaa kama bomu la machozi
 
Mhm... Hiyo si haki wana JF, kwa mfano, kwa aina za vyakula vya kwetu Rombo, usipojamba tumbo linauma ile kishenzi. Ndo maana mkiwa ndani kifamilia kujamba ni jambo la kawaida kabisa, mama anajamba, baba anajamba, so do kaka na dada na mimi mtoto mdogo wa familia.
 
Malawi kupiga marufuku 'kupumua'?


110204064606_sp_fart_226i.jpg
Malawi kukataza watu kujamba?


Mzozo umezuka nchini Malawi kufuatia mapendekezo kutaka kufikishwa bingeni kuhusu kujamba, kuwa ni kosa.
Waziri wa sheria wa Malawi, George Chaponda amesema muswada huo utakaojadiliwa kuwa sheria ndani ya bunge wiki ijayo, utapiga marufuku kabisa kwa mtu kufanya haja hiyo hadharani. Waziri huyo amekiambia kituo kimoja cha radio nchini humo- kwa maneno yake - "nenda chooni kama unajisikia kujamba".
Hata hivyo mkuu wa wanasheria nchini Malawi Anthony Karanga amesema kufanya haja hiyo hakufikii kuharibu hali ya hewa kiasi cha kuwa kosa la jinai.
Mwandishi wa BBC nchini humo anasema wananchi wa Malawi wanajiuliza mapendekeo ya sheria hiyo, iwapo itapitishwa, itatekelezwaje.

Chanzo: BBC Swahili - Habari - Malawi kupiga marufuku 'kupumua'?

du kumbe miswada ya Tanzanian type (ya ajabu ajabu) ipo na kwa wenzetu hawa!!wanataka kushindana na nature!!haya bwana yetu masikio,tutawasikia!!
 
hivi unaweza kujizuia kuj****a .....hata ukweni au kwenye interview inatokea kwa watu......

katiba yao ni crap
 
Malawi kupiga marufuku 'kupumua'?


110204064606_sp_fart_226i.jpg
Malawi kukataza watu kujamba?


Mzozo umezuka nchini Malawi kufuatia mapendekezo kutaka kufikishwa bingeni kuhusu kujamba, kuwa ni kosa.
Waziri wa sheria wa Malawi, George Chaponda amesema muswada huo utakaojadiliwa kuwa sheria ndani ya bunge wiki ijayo, utapiga marufuku kabisa kwa mtu kufanya haja hiyo hadharani. Waziri huyo amekiambia kituo kimoja cha radio nchini humo- kwa maneno yake - "nenda chooni kama unajisikia kujamba".
Hata hivyo mkuu wa wanasheria nchini Malawi Anthony Karanga amesema kufanya haja hiyo hakufikii kuharibu hali ya hewa kiasi cha kuwa kosa la jinai.
Mwandishi wa BBC nchini humo anasema wananchi wa Malawi wanajiuliza mapendekeo ya sheria hiyo, iwapo itapitishwa, itatekelezwaje.

Chanzo: BBC Swahili - Habari - Malawi kupiga marufuku 'kupumua'?

Mkuu mbona signature yako haieleweki? mtume muhamad si hayupo duniani? sasa mbona unatuchanganya.
 
Malawi kupiga marufuku 'kupumua'?


110204064606_sp_fart_226i.jpg
Malawi kukataza watu kujamba?


Mzozo umezuka nchini Malawi kufuatia mapendekezo kutaka kufikishwa bingeni kuhusu kujamba, kuwa ni kosa.
Waziri wa sheria wa Malawi, George Chaponda amesema muswada huo utakaojadiliwa kuwa sheria ndani ya bunge wiki ijayo, utapiga marufuku kabisa kwa mtu kufanya haja hiyo hadharani. Waziri huyo amekiambia kituo kimoja cha radio nchini humo- kwa maneno yake - "nenda chooni kama unajisikia kujamba".
Hata hivyo mkuu wa wanasheria nchini Malawi Anthony Karanga amesema kufanya haja hiyo hakufikii kuharibu hali ya hewa kiasi cha kuwa kosa la jinai.
Mwandishi wa BBC nchini humo anasema wananchi wa Malawi wanajiuliza mapendekeo ya sheria hiyo, iwapo itapitishwa, itatekelezwaje.

Chanzo: BBC Swahili - Habari - Malawi kupiga marufuku 'kupumua'?

Hao hawana matatizo,wanajadili kujamba....!
 
kenge ni kenge tu!. hivi hawana matatizo ya msingi mpaka watu wanalipwa posho kwa kukaa siku nzima wakijadili kuj...a!. sasa yatupasa tufuate maneno ya bikira maria aliyesema tusali, tusali rozari tupate amani!
 
Back
Top Bottom