umejuaje kuwa ni malaria_Msaada tafadhari nina maralia imekimbilia tumboni upande wa kushoto or kwenye bandama tumbo linaniuma sana
Msaada tafadhari nina maralia imekimbilia tumboni upande wa kushoto or kwenye bandama tumbo linaniuma sana
Naona sasa madaktari mmeanza kuwa wengi. Wenzenu wanasoma zaidi ya miaka mitano ili walau wapate degree za kwanza ya udaktari; wewe waamka tu na kuanza kusema malaria imekimbilia huku na kule. Unajua pathophysiology ya malaria wewe? Au na wewe umeanza uwongo wa Dr. Ndodi? Hebu nenda hospitali wewe, usije fia hapo kitandani.Msaada tafadhari nina maralia imekimbilia tumboni upande wa kushoto or kwenye bandama tumbo linaniuma sana