wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
Kipindi cha miaka minane viongozi wa CHADEMA wamepiga kelele sana likiongoza gazeti la Mwanahalisi aka kubenea kwa ufisadi papa mh. Lowassa.
Mpaka serikali ikaonekana inamuogopa Lowassa sasa serikali hii itabidi ishughulikie malalamiko ya wanasiasa nguli CHADEMA ya kuona namna ya kumshtaki Lowassa kwa ufisadi.
Mpaka serikali ikaonekana inamuogopa Lowassa sasa serikali hii itabidi ishughulikie malalamiko ya wanasiasa nguli CHADEMA ya kuona namna ya kumshtaki Lowassa kwa ufisadi.