Malalamiko juu ya kuondolewa Mlinzi wa Lowassa. Je, walinzi wa viongozi ni binafsi au wa Serikali?

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwa muda mrefu tumekuwa tukiona viongozi wakuu wastaafu kama Marais na Mawaziri Wakuu wakilindwa na walinzi. Binafsi nilikuwa naamini kuwa walinzi wale ni walinzi binafsi wa viongozi hao kwa vile nilikuwa nawaona muda wote wakiwa na mabosi wao. Tena wakati mwingine nawaona walinzi hao wakiwa na mabosi wao kwenye maeneo ambayo mabosi wao wanakuwa wakiishambulia serikali.

Kutokana na ukimya wa viongozi hao na kuendelea kuwalinda viongozi wao, hakika ilikuwa haiingii akilini kuamini kuwa walinzi hao ni wa Serikali. Tukio la kuondolewa mlinzi wa Edward Lowasa, Aloyce Tendewa limenifumbua macho. Sasa najua kumbe walinzi wale ni wa Serikali. Binafsi sikujua kama Aloyce Tendewa alikuwa ni mlinzi wa Serikali. Niliamini kuwa ni mlinzi wake binafsi na analipwa na Lowasa. Maana muda mwingi alikuwa naye na hata wakati ambapo mzee aliharibikiwa, Tendewa ndiye alikuwa wa kwanza kumsitiri.

Malalamiko ya baadhi ya watu baada ya kuondolewa mlinzi huyo hakika yanazua swali jingine. Je Mlinzi wa kiongozi mstaafu anapaswa kuwa huyo huyo au wanaweza kulinda kwa shift kama wanavyofanya kwenye majengo? Nimezoea sana kwenda Jeshini kwenye kambi ya Jeshi ya Huduma iliyopo Ruhuwiko Songea kumtembelea rafiki yangu anayefanya kazi hapo. Kila nikipita pale getini nakuta kunakuwa na sura tofauti ya walinzi. Nikaamini kuwa Walinzi wa Serikali hawakai kwenye lindo moja kwa muda mrefu.

Imenishtua sana kusikia kuwa Tendewa amekuwa mlinzi wa Lowasa kwa zaidi ya miaka 10. Kumlinda mtu mmoja kwa zaidi ya miaka 10 tena mtu mwenyewe anapingana na serikali iliyoko madarakani hakika ni jambo la kushangaza. Ni dhahiri kwamba mtu akiwa mlinzi wa mtu mmoja kwa zaidi ya miaka 10 hakika mlinzi huyo anageuka kuwa kijakazi wa bosi wake. Ndivyo ilivyotokea kwa Tendewa. Bila shaka kitendo cha kukaa na Lowasa kwa zaidi ya miaka kumi kilimfanya Tendewa kuwa si mlinzi wa serikali bali mlinzi binafsi wa Lowasa.

Hili la Tendewa na Lowasa liwe funzo kwa Serikali. Kwa vile CHADEMA wamesema kuwa wapo tayari kumpatia ulinzi Lowasa kufidia pengo la Tendewa, ni wakati sasa wa Serikali kumuondoa hata yule mmoja aliyepo ili kusiwe na mwingiliano wa majukumu yamkiulinzi kwa vile naamini kuwa mlinzi wa Serikali atakuwa amepata mafunzo tofauti ya ulinzi wa viongozi na yule mlinzi wa CHADEMA
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwa muda mrefu tumekuwa tukiona viongozi wakuu wastaafu kama Marais na Mawaziri Wakuu wakilindwa na walinzi. Binafsi nilikuwa naamini kuwa walinzi wale ni walinzi binafsi wa viongozi hao kwa vile nilikuwa nawaona muda wote wakiwa na mabosi wao. Tena wakati mwingine nawaona walinzi hao wakiwa na mabosi wao kwenye maeneo ambayo mabosi wao wanakuwa wakiishambulia serikali.

Kutokana na ukimya wa viongozi hao na kuendelea kuwalinda viongozi wao, hakika ilikuwa haiingii akilini kuamini kuwa walinzi hao ni wa Serikali. Tukio la kuondolewa mlinzi wa Edward Lowasa, Aloyce Tendewa limenifumbua macho. Sasa najua kumbe walinzi wale ni wa Serikali. Binafsi sikujua kama Aloyce Tendewa alikuwa ni mlinzi wa Serikali. Niliamini kuwa ni mlinzi wake binafsi na analipwa na Lowasa. Maana muda mwingi alikuwa naye na hata wakati ambapo mzee aliharibikiwa, Tendewa ndiye alikuwa wa kwanza kumsitiri.

Malalamiko ya baadhi ya watu baada ya kuondolewa mlinzi huyo hakika yanazua swali jingine. Je Mlinzi wa kiongozi mstaafu anapaswa kuwa huyo huyo au wanaweza kulinda kwa shift kama wanavyofanya kwenye majengo? Nimezoea sana kwenda Jeshini kwenye kambi ya Jeshi ya Huduma iliyopo Ruhuwiko Songea kumtembelea rafiki yangu anayefanya kazi hapo. Kila nikipita pale getini nakuta kunakuwa na sura tofauti ya walinzi. Nikaamini kuwa Walinzi wa Serikali hawakai kwenye lindo moja kwa muda mrefu.

Imenishtua sana kusikia kuwa Tendewa amekuwa mlinzi wa Lowasa kwa zaidi ya miaka 10. Kumlinda mtu mmoja kwa zaidi ya miaka 10 tena mtu mwenyewe anapingana na serikali iliyoko madarakani hakika ni jambo la kushangaza. Ni dhahiri kwamba mtu akiwa mlinzi wa mtu mmoja kwa zaidi ya miaka 10 hakika mlinzi huyo anageuka kuwa kijakazi wa bosi wake. Ndivyo ilivyotokea kwa Tendewa. Bila shaka kitendo cha kukaa na Lowasa kwa zaidi ya miaka kumi kilimfanya Tendewa kuwa si mlinzi wa serikali bali mlinzi binafsi wa Lowasa.

Hili la Tendewa na Lowasa liwe funzo kwa Serikali. Kwa vile CHADEMA wamesema kuwa wapo tayari kumpatia ulinzi Lowasa kufidia pengo la Tendewa, ni wakati sasa wa Serikali kumuondoa hata yule mmoja aliyepo ili kusiwe na mwingiliano wa majukumu yamkiulinzi kwa vile naamini kuwa mlinzi wa Serikali atakuwa amepata mafunzo tofauti ya ulinzi wa viongozi na yule mlinzi wa CHADEMA
Red brigade ni chui wa makaratasi tu,mbwembwe za miwani meusi na makoti marefu hata kushika kirungu hawawezi.wakiwaweka hao wahuni wa chadema mzee atakua kama anatembea peke yake
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwa muda mrefu tumekuwa tukiona viongozi wakuu wastaafu kama Marais na Mawaziri Wakuu wakilindwa na walinzi. Binafsi nilikuwa naamini kuwa walinzi wale ni walinzi binafsi wa viongozi hao kwa vile nilikuwa nawaona muda wote wakiwa na mabosi wao. Tena wakati mwingine nawaona walinzi hao wakiwa na mabosi wao kwenye maeneo ambayo mabosi wao wanakuwa wakiishambulia serikali.

Kutokana na ukimya wa viongozi hao na kuendelea kuwalinda viongozi wao, hakika ilikuwa haiingii akilini kuamini kuwa walinzi hao ni wa Serikali. Tukio la kuondolewa mlinzi wa Edward Lowasa, Aloyce Tendewa limenifumbua macho. Sasa najua kumbe walinzi wale ni wa Serikali. Binafsi sikujua kama Aloyce Tendewa alikuwa ni mlinzi wa Serikali. Niliamini kuwa ni mlinzi wake binafsi na analipwa na Lowasa. Maana muda mwingi alikuwa naye na hata wakati ambapo mzee aliharibikiwa, Tendewa ndiye alikuwa wa kwanza kumsitiri.

Malalamiko ya baadhi ya watu baada ya kuondolewa mlinzi huyo hakika yanazua swali jingine. Je Mlinzi wa kiongozi mstaafu anapaswa kuwa huyo huyo au wanaweza kulinda kwa shift kama wanavyofanya kwenye majengo? Nimezoea sana kwenda Jeshini kwenye kambi ya Jeshi ya Huduma iliyopo Ruhuwiko Songea kumtembelea rafiki yangu anayefanya kazi hapo. Kila nikipita pale getini nakuta kunakuwa na sura tofauti ya walinzi. Nikaamini kuwa Walinzi wa Serikali hawakai kwenye lindo moja kwa muda mrefu.

Imenishtua sana kusikia kuwa Tendewa amekuwa mlinzi wa Lowasa kwa zaidi ya miaka 10. Kumlinda mtu mmoja kwa zaidi ya miaka 10 tena mtu mwenyewe anapingana na serikali iliyoko madarakani hakika ni jambo la kushangaza. Ni dhahiri kwamba mtu akiwa mlinzi wa mtu mmoja kwa zaidi ya miaka 10 hakika mlinzi huyo anageuka kuwa kijakazi wa bosi wake. Ndivyo ilivyotokea kwa Tendewa. Bila shaka kitendo cha kukaa na Lowasa kwa zaidi ya miaka kumi kilimfanya Tendewa kuwa si mlinzi wa serikali bali mlinzi binafsi wa Lowasa.

Hili la Tendewa na Lowasa liwe funzo kwa Serikali. Kwa vile CHADEMA wamesema kuwa wapo tayari kumpatia ulinzi Lowasa kufidia pengo la Tendewa, ni wakati sasa wa Serikali kumuondoa hata yule mmoja aliyepo ili kusiwe na mwingiliano wa majukumu yamkiulinzi kwa vile naamini kuwa mlinzi wa Serikali atakuwa amepata mafunzo tofauti ya ulinzi wa viongozi na yule mlinzi wa CHADEMA
kama mpaka recently ulikuwa hujui kuwa Aloyce Tendewa ni mlinzi wa serikali,au kama ulikuwa hujui kuwa viongozi wastaafu wa juu hulindwa na serikali basi nina haki ya kusema wewe ni POPOMA ULIYETUKUKA,siku zote nilikuwa nasoma post zako nadhani zimepostiwa na mtu mwenye upeo fulani kumbe ni mtu ambaye huna ufahamu wal uelewa wa mambo madogo kama hayo ni aibu sana ungeficha ujinga wako ingekuwa busara sana,kumbe humu kuna watu wanashinda humu na hawana upeo wowote ,rudi darasania au jisomee sana
 
kama mpaka recently ulikuwa hujui kuwa Aloyce Tendewa ni mlinzi wa serikali,au kama ulikuwa hujui kuwa viongozi wastaafu wa juu hulindwa na serikali basi nina haki ya kusema wewe ni POPOMA ULIYETUKUKA,siku zote nilikuwa nasoma post zako nadhani zimepostiwa na mtu mwenye upeo fulani kumbe ni mtu ambaye huna ufahamu wal uelewa wa mambo madogo kama hayo ni aibu sana ungeficha ujinga wako ingekuwa busara sana,kumbe humu kuna watu wanashinda humu na hawana upeo wowote ,rudi darasania au jisomee sana
mkuu , ungemuellewesha tu kistaarabu na sio kumponda namna hiyo .
any way, walinzi wa viongozi waandamizi wa serikali huwa ni wa serikali
mpaka siku ya mwisho wa uhai wake.
 
CDM si wamwekee mlinzi wao tu basii, mtu mwenyewe kutwa kuiponda serikali hiyo hiyo inayompa mlinzi, akipata madhara mwishowe waseme serikali imehusika
 
Acha kujizalilisha watu wote wanaona akili yako ilivyo tueleze anapaswa kulindwa au vinginevyo na sheria inaweka swala hili vipi chadema chadema toka nje ya box
 
Mimi sioni mantiki ya Serikali ya chama tawala kumpa ulinzi Lowassa, majukumu hayo yanapaswa kubebwa na CHADEMA kama kuna umuhimu wa kufanya hivyo.
 
Vitu vingine mnavikuza bila hata ya sababu. Hivi Liz unasababu yoyote ile ya kufungulia thread suala hili? Hata hao wanaolalamika ina maana ni kweli wanalalamika au wanaigiza!!
Kitengo cha VIP protection kinaweza kutumia resources zake kwa kadili waonavyo inafaa.
Huyo mzee kama alikua na Lowasa tangu akiwa waziri mkuu basi lazima kuna tatizo mahali, alipaswa kubadirishwa mara tu Lowasa alipo step down na security level kubadirishwa.
Mbona hata akina Mkapa walibadirishiwa ulinzi.
Ulinzi wa Magufuli kipindi cha kampeni ulibadirishwa pale Kahama, aliingia mahali ile kutoka kila kitu kilibarika na route plan pia kubadirishwa.
The rest are just the protocals in the line of duty.
 
Last edited:
siamini kabisa kama ni lizaboni aliye-post uzi huu. huyu atakuwa lizaboni wa kuchonga au wakichina. upeo wa lizaboni usijue hili, no i can't believe. lizabon og is a 5 star jf.....
 
@Lizaboni
" hata wakati ambapo mzee aliharibikiwa, Tendewa ndiye alikuwa wa kwanza kumsitiri."

fafanua mkuu!
 
Red brigade ni chui wa makaratasi tu,mbwembwe za miwani meusi na makoti marefu hata kushika kirungu hawawezi.wakiwaweka hao wahuni wa chadema mzee atakua kama anatembea peke yake
Mkuu, hata mimi nilikuwa na maoni kama yako. CHADEMA hawana Walinzi bali wana wahuni tu na waganga njaa
 
Back
Top Bottom