Parabolic
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,756
- 2,646
Huwa nafuatilia kipindiki cha Je, tutafika, lakini siku hizi napata ukakasi. Huyu jamaa siku hizi anapiga debe serikali 2 tu. Anaalika wageni wenye kazi ya kuponda rasimu ya katiba tu.
My take: Kwa nini mwandishi usichukue watu wenye pande mbili tofauti na mawazo tofauti ili kuwaacha watazamaji waamue wenyewe? Maana yake sasa huku sasa ni kuvaa tu koti la CCM kama alivyofanya Prof. Shivji.
My take: Kwa nini mwandishi usichukue watu wenye pande mbili tofauti na mawazo tofauti ili kuwaacha watazamaji waamue wenyewe? Maana yake sasa huku sasa ni kuvaa tu koti la CCM kama alivyofanya Prof. Shivji.