MAKWAIA,umeamua kuwa MNAFIKI !!

MAKWAIA,umeamua kuwa MNAFIKI !!

huyu mzee hana ethic za uongozaji wa vipindi anaongea sana tena pumba kuliko waalikwa,wanao mkubali ni ma layman
 
Tatizo tumbo husababisha mtu kukosa muelekeo,wenye akili zao walishaachana na huyo mzee siku nyingi..

kama ni njaa , basi ya makwaia ni kiboko sana! Maana imeng'oa ubongo wote !
 
Ndugu wana jamvi huyu mzee aneendesha kipindi cha Je,tutafika anaendesha kipindi au kampeni za ccm ?
Nijuavyo mwendesha kipindi anapokaribisha wageni yeye hawimzunzaji mkuu ila kutoa nafasi kwa wageni na kuwagawia muda wa kuzungumza lakini ukiangalia mzee Makwaia ktk kipindi chake yeye anaita watu waongee kama kijie cha wahuni tuu hakuna mada inayojengwa.
vNashauri kama mzee makwaia hawezi kuendesha kipindi kifungwe hakuna faida.Haiwezekani kila siku anaita watu wa mtazamo mmoja tuuuu!

Ili kipindi kiwe na mvuto na changamoto lazima uite watu wenye mitazamo tofauti vinginevyo mzee ameamua kuwa Mnafiki.ANAKERA.

Huyo mzee Suzuki escudo yake inatoa moshi labda anataka apate gar mpya Toka huko anakopiga kampen Njaa haina mazoea wa madhehebu
 
Wageni wake wa kudumu ni ma lekcha ma_conservative; Sabato na Bashiru. Wazee wa Africanism. Wakiwa studio ni porojo za kudanganyana; bila kuongelea soln za modern Africa.

tragedy of the commons
 
Kumbe tatizo la huyu mzee mpaka mnamshambulia kutokuwa Chadema.

Pro-Chadema wengi wana ufinyu wa fikra wanataka kila mtu awe mfuasi wa Chadema.

Jengeni chama chenu kwa hoja na sera siyo matusi, Mzee Makwaia safi sana watanzania wapo pamoja na wewe hawa wapuuzi endelea kuwapuuza.
 
Kumbe tatizo la huyu mzee mpaka mnamshambulia kutokuwa Chadema.

Pro-Chadema wengi wana ufinyu wa fikra wanataka kila mtu awe mfuasi wa Chadema.

Jengeni chama chenu kwa hoja na sera siyo matusi, Mzee Makwaia safi sana watanzania wapo pamoja na wewe hawa wapuuzi endelea kuwapuuza.

Kila debate lazima iwe na pande mbili.kadi yangu ya ccm ipo na inalipiwa usidhani kila anaekosoa ni chadema haya ni mawazo finyu uliyotoa.na kimsingi hata kama wewe ni ccm umemezeshwa mawazo finyu.
 
Kumbe tatizo la huyu mzee mpaka mnamshambulia kutokuwa Chadema.

Pro-Chadema wengi wana ufinyu wa fikra wanataka kila mtu awe mfuasi wa Chadema.

Jengeni chama chenu kwa hoja na sera siyo matusi, Mzee Makwaia safi sana watanzania wapo pamoja na wewe hawa wapuuzi endelea kuwapuuza.

anaiFAGILIA CCM HADI VIONGOZI WANAONA AIBU ! MAANA ANAFANYA PROPAGANDA ZA UONGO ULIOPITILIZA .
 
Ndugu wana jamvi huyu mzee aneendesha kipindi cha Je,tutafika anaendesha kipindi au kampeni za ccm ?
Nijuavyo mwendesha kipindi anapokaribisha wageni yeye hawimzunzaji mkuu ila kutoa nafasi kwa wageni na kuwagawia muda wa kuzungumza lakini ukiangalia mzee Makwaia ktk kipindi chake yeye anaita watu waongee kama kijie cha wahuni tuu hakuna mada inayojengwa.
vNashauri kama mzee makwaia hawezi kuendesha kipindi kifungwe hakuna faida.Haiwezekani kila siku anaita watu wa mtazamo mmoja tuuuu!

Ili kipindi kiwe na mvuto na changamoto lazima uite watu wenye mitazamo tofauti vinginevyo mzee ameamua kuwa Mnafiki.ANAKERA.
unafiki asili yake huyo mzee...
 
Ndugu wana jamvi huyu mzee aneendesha kipindi cha Je,tutafika anaendesha kipindi au kampeni za ccm ?
Nijuavyo mwendesha kipindi anapokaribisha wageni yeye hawimzunzaji mkuu ila kutoa nafasi kwa wageni na kuwagawia muda wa kuzungumza lakini ukiangalia mzee Makwaia ktk kipindi chake yeye anaita watu waongee kama kijie cha wahuni tuu hakuna mada inayojengwa.
vNashauri kama mzee makwaia hawezi kuendesha kipindi kifungwe hakuna faida.Haiwezekani kila siku anaita watu wa mtazamo mmoja tuuuu!

Ili kipindi kiwe na mvuto na changamoto lazima uite watu wenye mitazamo tofauti vinginevyo mzee ameamua kuwa Mnafiki.ANAKERA.

unapozeeka na UFUKARA WAKO huwa inachanganya sana , unaweza kujikuta unatumika hata kwa vitu vya aibu !
 
Namkubali sana huyo mzee. Mungu ampe maisha marefu, mambo anayoeleza ni kwa faida yetu wote na anaitakia mema nchi ya Tanzania.

Hiyo Tanganyika mnayoitaka kamwe haitokuja
 
Mzee Makwaia endelea kukaza hivyo hivyo. Unaambiwa siku zote ukiona adui anasema acha kufanya jambo fulani, basi inabidi uzidishe kufanya jambo hilo hilo maradufu.

Binafsi navutiwa sana na mijadala yake na uwa sikikosi kipindi cha huyo mzee. Na kwa sasa ni moja ya vipindi ambavyo vimepata udhamini mkubwa wa makampuni makubwa nchini. Just for the record.
 
Mzee Makwaia endelea kukaza hivyo hivyo. Unaambiwa siku zote ukiona adui anasema acha kufanya jambo fulani, basi inabidi uzidishe kufanya jambo hilo hilo maradufu.

Binafsi navutiwa sana na mijadala yake na uwa sikikosi kipindi cha huyo mzee. Na kwa sasa ni moja ya vipindi ambavyo vimepata udhamini mkubwa wa makampuni makubwa nchini. Just for the record.

2010 hata MATAPELI WALICHANGIA CCM , AU TUKUWEKEE MAJINA YAO HAPA ?
 
Namkubali sana huyo mzee. Mungu ampe maisha marefu, mambo anayoeleza ni kwa faida yetu wote na anaitakia mema nchi ya Tanzania.

Hiyo Tanganyika mnayoitaka kamwe haitokuja

ALIYEKUDANGANYA KAMA unaweza KUIZUIA TANGANYIKA NI NANI ?
 
Kumbe tatizo la huyu mzee mpaka mnamshambulia kutokuwa Chadema.

Pro-Chadema wengi wana ufinyu wa fikra wanataka kila mtu awe mfuasi wa Chadema.

Jengeni chama chenu kwa hoja na sera siyo matusi, Mzee Makwaia safi sana watanzania wapo pamoja na wewe hawa wapuuzi endelea kuwapuuza.

Mzee Makwaia endelea kukaza hivyo hivyo. Unaambiwa siku zote ukiona adui anasema acha kufanya jambo fulani, basi inabidi uzidishe kufanya jambo hilo hilo maradufu.

Binafsi navutiwa sana na mijadala yake na uwa sikikosi kipindi cha huyo mzee. Na kwa sasa ni moja ya vipindi ambavyo vimepata udhamini mkubwa wa makampuni makubwa nchini. Just for the record.
Of koz sad people will continue to watch this tactless piece of sh.. but serious & analytical audience will always shy away from this nonsensical mzee. And it aint at all related to partism..u muppets!
 
Mzee Makwaia endelea kukaza hivyo hivyo. Unaambiwa siku zote ukiona adui anasema acha kufanya jambo fulani, basi inabidi uzidishe kufanya jambo hilo hilo maradufu.

Binafsi navutiwa sana na mijadala yake na uwa sikikosi kipindi cha huyo mzee. Na kwa sasa ni moja ya vipindi ambavyo vimepata udhamini mkubwa wa makampuni makubwa nchini. Just for the record.

Ninakubali Mzee Makwaia kuwa na mtazamo katika Siasa za Tanzania, lakini kipindi ni kwa ajili ya Watazamaji SIO MAADUI. Kama anaendesha kipindi dhidi ya adui basi bado tunasafari ndefu. Nina amini wamiliki wa Channel Ten hawana adui Tanzania hadi wamuanzishie vipindi vya TV.

Mwanzoni huyu Mzee alikuwa ana balance vizuri kipindi chake kwa kuwaleta watu wenye mitizamo tofauti, mijadala ili kuwa yenye tija uhenda ndo ikavutia hata hao unaowaita wafadhili wa kipindi. Lakini siku za hivi karibuni hata kwa kuangalia tabia yake nachelea kusema anakuwa kama ana kiherehere flani, hawaaachi watu wakajenga hoja, anachomekea na kushabikia hoja.

Ushauri,
Uongozi wa Channel Ten ongeeni na huyu Mtangazaji wenu Mzee Makwaia ili afate maadili ya utangazaji lau kama umri na maarifa yamefikia ukomo, mlipeni stahiki zake aende akapumzike nyumbani acheze na wajukuu na vitukuu.
 
Ndo maana tunawaambieni vijana Mchape kazi mungali na nguvu bado. Njaa ya uzeeni ni majanga unaweza kula matapishi mradi mkono uende kinywani. Makwaiya wa Kuhenga anachofanya ni kutibu hiyo njaa kali ya mafanikio aliyonayo. Bahati mbaya kwake yuko machweo hata Mkulu kumpa kijiwilaya inabidi atafakari sana! Mwanzoni kipindi nilikuwa nakipenda lakini nikapuuza baada ya kuwa kimezama kwenye ushabiki wa kipuuzi! Huyu Mzee ajirekebishe bwana!
 
Mzee Makwaia endelea kukaza hivyo hivyo. Unaambiwa siku zote ukiona adui anasema acha kufanya jambo fulani, basi inabidi uzidishe kufanya jambo hilo hilo maradufu. Binafsi navutiwa sana na mijadala yake na uwa sikikosi kipindi cha huyo mzee. Na kwa sasa ni moja ya vipindi ambavyo vimepata udhamini mkubwa wa makampuni makubwa nchini. Just for the record.
Haha..viewers wamekuwa maadui tena..nadhani hujui businee aliyopo huyu mzee...kukosa viewer kunamfanya akose thamani..na kupoteza viewers ni ishara kuwa nafany kitu wrong na kisicho na ushawishi
 
Back
Top Bottom