swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
- Thread starter
- #41
Mzee Makwaia endelea kukaza hivyo hivyo. Unaambiwa siku zote ukiona adui anasema acha kufanya jambo fulani, basi inabidi uzidishe kufanya jambo hilo hilo maradufu.
Binafsi navutiwa sana na mijadala yake na uwa sikikosi kipindi cha huyo mzee. Na kwa sasa ni moja ya vipindi ambavyo vimepata udhamini mkubwa wa makampuni makubwa nchini. Just for the record.
Huyu mzee huwa ni de.mu wa nani kati ya mkulu wa ka kaya na ile inafanana na mambaa???