MAKWAIA,umeamua kuwa MNAFIKI !!

MAKWAIA,umeamua kuwa MNAFIKI !!

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,253
Reaction score
1,475
Ndugu wana jamvi huyu mzee aneendesha kipindi cha Je,tutafika anaendesha kipindi au kampeni za ccm ?
Nijuavyo mwendesha kipindi anapokaribisha wageni yeye hawimzunzaji mkuu ila kutoa nafasi kwa wageni na kuwagawia muda wa kuzungumza lakini ukiangalia mzee Makwaia ktk kipindi chake yeye anaita watu waongee kama kijie cha wahuni tuu hakuna mada inayojengwa.
vNashauri kama mzee makwaia hawezi kuendesha kipindi kifungwe hakuna faida.Haiwezekani kila siku anaita watu wa mtazamo mmoja tuuuu!

Ili kipindi kiwe na mvuto na changamoto lazima uite watu wenye mitazamo tofauti vinginevyo mzee ameamua kuwa Mnafiki.ANAKERA.
 
Anajitekenya tena anajichekesha mwenyewe yule mzee.Hivi kile kipindi kina mdhamini kweli.
 
Kazee kajinga kweli...kwanza kanaongea kenyewe hadi kanawaboa kanaowasifia..kwa kujikomba..Knamwita mtoto wa Kawawa Simba wa nyika,sijui babake alikuwa nani, na ndugu zake watakuwa nani?
 
Itakuwa anatumiwa na ccm
NI mbaya zaidi anajitumikisha kwa CCM.....huyu mzee angeweza kuwa shoga kirahisi sana....hujichekesha sana akiwa na mabalozi wa nchi za kiharamia na pinzani ,zinazopinga kila cha magharibi na Ukristu .....Ukristu kwake ndio imani za kigeni ila si dini zingine...km Kikunge...tena hufikia mahali pa kudanganya watu kuwa Ukristu ni dini ya kikoloni ya Magharibi..As if Wazungu nao hawakuupoke Ukristu kwa wayahadi.
 
Nimeangalia kipindi chake cha usiku was leo, kweli huyu makwia anatumia Ch10 kuwakampenia CCM. Sijui kama hao wajukuu zake akina Vita wanawakilisha vijana wa kitanzania. Na bado kikosi cha watoto wa vigogo kinaongezeka, Ridwani huyo Na wengine wanaandaliwa. Labda CCM wajitahidi kuongeza jeshi la polisi, Vila hivyo no light at the end of the tunnel
 
Duh, hukumu uliyompa (unafiki) na maelezo uliyotoa hayanedani kabisa. Very weak factual base to support such a huge allegation. Lbda kama una mengine funguka ilakwa hapo kwa standard za JF, critical thinkers, umemuonea bure mzee wa watu. Ukisema Kachoka ama ana upendeleo ila mnafiki? No way! Punguza jazba.


Ndugu wana jamvi huyu mzee aneendesha kipindi cha Je,tutafika anaendesha kipindi au kampeni za ccm ?
Nijuavyo mwendesha kipindi anapokaribisha wageni yeye hawimzunzaji mkuu ila kutoa nafasi kwa wageni na kuwagawia muda wa kuzungumza lakini ukiangalia mzee Makwaia ktk kipindi chake yeye anaita watu waongee kama kijie cha wahuni tuu hakuna mada inayojengwa.
vNashauri kama mzee makwaia hawezi kuendesha kipindi kifungwe hakuna faida.Haiwezekani kila siku anaita watu wa mtazamo mmoja tuuuu!

Ili kipindi kiwe na mvuto na changamoto lazima uite watu wenye mitazamo tofauti vinginevyo mzee ameamua kuwa Mnafiki.ANAKERA.
 
Ndugu wana jamvi huyu mzee aneendesha kipindi cha Je,tutafika anaendesha kipindi au kampeni za ccm ?
Nijuavyo mwendesha kipindi anapokaribisha wageni yeye hawimzunzaji mkuu ila kutoa nafasi kwa wageni na kuwagawia muda wa kuzungumza lakini ukiangalia mzee Makwaia ktk kipindi chake yeye anaita watu waongee kama kijie cha wahuni tuu hakuna mada inayojengwa.
vNashauri kama mzee makwaia hawezi kuendesha kipindi kifungwe hakuna faida.Haiwezekani kila siku anaita watu wa mtazamo mmoja tuuuu!

Ili kipindi kiwe na mvuto na changamoto lazima uite watu wenye mitazamo tofauti vinginevyo mzee ameamua kuwa Mnafiki.ANAKERA.

Achana naye huyo, njaa imeshaingia kwenye ubongo...
 
Inabidi vituo vya TV & redio Tz sasa viwe na utaratibu wa kupata feedbacks / ratings ili kuondoa vipindi vyote vinavyoboa. Nchi nyingine wameweza ku-retain watazamaji kwa staili hii.
 
njaa hyo inampereka puta mzee kishakuwa mtambo
 
sipendi anavyoongoza kipindi. ubabe mwingi na kudakia hoja za watu midomoni kabla hawajamaliza kuzungumza
 
sipendi anavyoongoza kipindi. ubabe mwingi na kudakia hoja za watu midomoni kabla hawajamaliza kuzungumza

hapa nyumbani hata watoto wangu wadogo wameisha mdharau.hua wanazima tv wakimuona hana mvuto tena
 
Ndugu wana jamvi huyu mzee aneendesha kipindi cha Je,tutafika anaendesha kipindi au kampeni za ccm ?
Nijuavyo mwendesha kipindi anapokaribisha wageni yeye hawimzunzaji mkuu ila kutoa nafasi kwa wageni na kuwagawia muda wa kuzungumza lakini ukiangalia mzee Makwaia ktk kipindi chake yeye anaita watu waongee kama kijie cha wahuni tuu hakuna mada inayojengwa.
vNashauri kama mzee makwaia hawezi kuendesha kipindi kifungwe hakuna faida.Haiwezekani kila siku anaita watu wa mtazamo mmoja tuuuu!

Ili kipindi kiwe na mvuto na changamoto lazima uite watu wenye mitazamo tofauti vinginevyo mzee ameamua kuwa Mnafiki.ANAKERA.
Mkuu Swaga, Mzee Makwaia ni kada wa Chama cha Mapinduzi!, Kipindi cha Je Tutafika?, ni kipindi chake!, kama kilivyo hamza Kasongo Kasongo Hour, ni kipindi cha Hamza Kasongo, na Jenerali on Monday ni kipindi cha Generali Ulimwengu!. Vipindi hivyo ni vya waendesha vipindi, hivyo waendesha vipindi, wako huru kuwaita watu wowote!, kama imetokea Mzee Makwaia akawaita wana CCM tuu siku zote, hiyo ni haki yake!, nakuunga mkono kuita watu wa aina moja ni boring, ila kwa wenyewe wenye chama chao, kwao ni plus, na political milage, hivyo huku wengine wakiboreka, wengine wanafurahi!.
Pasco.
 
Hakuna aliyeneutral katika nch hii, ila tatizo ni kuwa tayar kupata mawazo upande wa pili ndio tatizo la makwaia.
 
Back
Top Bottom