Makusanyo ya kodi yazidi kupaa

Ujinga mtupu.. kama mmefunga ofisi kikimbia chadema wasirudishe form ..kwa nini msipoke namba za makusanyo
 
Sasa kama makusanyo yameongezeka kwa nini deni la taifa linazidi kupanda?
Mkuu MANI kuna mambo unaweza kutukana kabisa. Mtu anasimama anabana pua "sasa hivi mapato yangu ni makubwa mno"
Unashangaa madeni halipi? Mishahara haongezi wakati bei zinapanda, watoto wetu pamoja na kusoma ajira hakuna! Kula kitu ni hovyo kuliko Jana mapato yalipo kuwa madogo.
 
Hakuna namna ya kuthibitisha kuwa mapato yameongezeka wakati takwimu haziwekwi wazi kwa kila walaya, mkoa hadi jumla ya nchi nzima.

Hadi pale hili litakapofanyika, kwa sisi tunaojitambua tutaendelea ku-treat taarifa feki kama hizi kama, Normal Public Relations Exercise tuliyozoea. That's all.
 
Takwimu zote za awamu ya 5 ni "cooked". Kuanzia makinikia, korosho hadi makusanyo ya TRA.

Hakuna takwimu inayotoka public bila Meko kuiona na kuchakachua.

Kwa mfano; tume ya Prof Mruma iligundua kuwa kwenye kila container la makinikia la 20 feet kuna mabaki ya Gold 0.7 Kg. Lakini Meko aliposoma ripoti ya Mruma akaona ikiripotiwa 0.7 Kg haiwezi ku-justfy ile hypithesis yake kuwa ACACIA wanaiba dhahabu. Hivyo akamuambia Prof Mruma atoe decimal point na ikasomeka 7. 0 KG. Na ndiyo kisa cha kupata USD 190 BILLION au Tsh 450 Trillion ambazo ndiyo tunawadai ACACIA.

Mwisho wa siku hakuna kitu kama 7.0 Kg ya dhahabu na hakuna Tsh 450 Trillion.

Nao TRA wankusanya kati ya Tsh 950 Bilioni na 1.2 Trilioni kwa mwezi. Wangekuwa wankusanya Tsh 1.5 tusingekuwa na deni la Serikali kubwa hivyo kwa kipindi kifupi. Hii ni Serikali ya fake data
 
Sheria utungwa kwa ajili ya masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…