Unafkiri ni waUkran kwamba hata chakula hawana wanapelekwa vitani na njaa, vijana acheni urongo na propaganda havitobadilisha ukweli wa mambo huko uwanjani
Habari kama hii ulishasemaga tokea haka ka operesheni kanaanza ,,,cha ajabu miezi inakata tu mtu bado anachezea kichapo............we mkunya endelea tu kutikisa hilo wezere mbuyu haung'oki kirahisi hivyo
Habari kama hii ulishasemaga tokea haka ka operesheni kanaanza ,,,cha ajabu miezi inakata tu mtu bado anachezea kichapo............we mkunya endelea tu kutikisa hilo wezere mbuyu haung'oki kirahisi hivyo
Nashangaa hujalijua hilo, ile tu kwamba msafara ulibadilishwa kuwa chuma chakavu na Urusi wakafukuziwa Kiev kama mbwa, huo ni ushindi tosha, mengine hayo ya kugombania tumji twa huko mipakanani sio issue kubwa, maana wengi tulikua tunaogopa sana Urusi, tulidhani wana chochote cha maana, kumbe useless.
Na sasa hizi taarifa za wnajeshi wa Urusi kuendelea kugomea vita, yaani hadi raha....