Soma notes board.
Soma notes board.
posta mpya oppisite na ifm.
Ungemaanisha ungepiga hata picha ya notice board na kuitupia hapa huna lolote ni umbeya unakusumbua tu kujifanya unawahi kuleta uzi hapa na uzi wenyewe ni ujinga mtupu.hapana si ujinga ndugu,nina maanisha nesha notes board ya makumbusho ya taifa ili upate ilo tangazo kuliko kusubili utumishi watoe
Na kwa aliye nje ya mkoa wa DSM utampa nauli ya kuja huko Posta?posta mpya oppisite na ifm.
ujinga wa namna hii peleka facebook
Sorry mkuu naomba unipe tofauti ya source ya habari(kama ulivyo sema) na medium of communication na jamii forum iko wapi kati ya hizo mbili.
swali lingine ni kwamba naomba kifungu kinachosema jamii forum haitaki mtu aelekezwe na ni kwanini?
kama sivyo futa kauli!
Acha ukilaza dogo michongo ya kilooser peleka facebook..!!sio kila kitu lazima kiandikwe halafu acha kuleta mambo sio..wapi imeandikwa usilale kitanda kimoja na ndugu yako wa kike vitu vingine ni kujiongeza tu..!!Sorry mkuu naomba unipe tofauti ya source ya habari(kama ulivyo sema) na medium of communication na jamii forum iko wapi kati ya hizo mbili.
swali lingine ni kwamba naomba kifungu kinachosema jamii forum haitaki mtu aelekezwe na ni kwanini?
kama sivyo futa kauli!
ujinga wa namna hii peleka facebook
aiseeeee babayangu naunga hoja mkono
aiseeee mamayangu naunga mkono hojami ni ke sa sujui hapo kwenye red itakuaje