Makubwa! Kuibuka kwa Matatizo ya Muungano-kipindi cha Hayati Magufuli sikuyasikia haya

Econometrician

JF-Expert Member
Oct 25, 2013
15,806
28,468
Wana JF,
Nimepatwa na mshangao kumuona Mama Samia Jana anaongelea changamoto za Muungano kwenye masuala ya fedha, nilidhani ni masihara nashangaa leo tena yameibuka kwenye speech ya Makamu wa Rais.

Ama kweli hamna mtu mbaya au mzuri moja kwa moja-kipindi cha Magufuli haya mambo sikuwahi kuyasikia au hawa Wazanzibar wanataka ku-take advantage ya Mama kuwa kwenye nafasi.
 
Kumbe kweli jiwe inaonesha alikuwa jeuri hataki ushauri uzuri Zanzibar makabila yote ni haya ya bara tutakaa meza moja
 
Yawezakuwa mwanzo mpya,unatoa mwanga hata kwa wasioona wanapata muujiza wa kuanza kuona,ama mahaba yalizidi kiasi cha kusema chongo,au asiyeweza kabisa kuona ni kengeza tu,na litapona.
 
CCM Magufuli mna matatizo sana,kwahiyo hutaki kero za muungano zitatuliwe?

Kama ni haki yao waache wapewe,haki kwa haki zama za ubabe ziliisha Machi 17 ,2021.
 
Matatizo ya muungano hayajawahi kwisha bali sema wangeyasemea wapi wakati alishasema hataki kushauriwa?
 
Unafiki wa kiwango cha standadigeji , wakati wa Jiwe matatizo yalikuwepo lukuki ila hawakuthubutu kusema walimuogopa dikteta uchwara .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…