Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,723
- 28,261
Wana JF,
Nimepatwa na mshangao kumuona Mama Samia Jana anaongelea changamoto za Muungano kwenye masuala ya fedha, nilidhani ni masihara nashangaa leo tena yameibuka kwenye speech ya Makamu wa Rais.
Ama kweli hamna mtu mbaya au mzuri moja kwa moja-kipindi cha Magufuli haya mambo sikuwahi kuyasikia au hawa Wazanzibar wanataka ku-take advantage ya Mama kuwa kwenye nafasi.
Nimepatwa na mshangao kumuona Mama Samia Jana anaongelea changamoto za Muungano kwenye masuala ya fedha, nilidhani ni masihara nashangaa leo tena yameibuka kwenye speech ya Makamu wa Rais.
Ama kweli hamna mtu mbaya au mzuri moja kwa moja-kipindi cha Magufuli haya mambo sikuwahi kuyasikia au hawa Wazanzibar wanataka ku-take advantage ya Mama kuwa kwenye nafasi.