Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,554
- 2,717
Habari za muda huu, na ahsante kwa kufungua uzi huu. Natumaini kati yetu yupo mtu mwenye uzoefu wa maktaba kuu ya Tanzania (National library of Tanzania )
Tafadhali tunaomba utusaidie ( Mimi na wana JF wengine ambao watafaidika) kuhusu utaratibu wa maktaba hii hasa gharama zake kwa ujumla.
Natanguliza shukrani!
Tafadhali tunaomba utusaidie ( Mimi na wana JF wengine ambao watafaidika) kuhusu utaratibu wa maktaba hii hasa gharama zake kwa ujumla.
Natanguliza shukrani!