Makosa yanayotugharimu tunapoandika CV

Makosa yanayotugharimu tunapoandika CV

phil_kabuje

Member
Joined
Mar 27, 2014
Posts
67
Reaction score
73
Wadau wa Jf kuna hii topic nzuri sana kwa waandika CV nikaona nishare link yake!

wenye hiyo blog wao hawakubali kukopi na kupaste ndo maana nimeweka.
==========================================================


1.Epuka Kukosea herufi za maneno (spelling) kwenye CV yako, hili ni kosa kubwa na itaonyesha ni jinsi gani huna umakini wakati wa kufanya mambo ya muhimu.


2.Usiongeze vitu usivyoweza kuvifanya kwani vitakuumbua siku ya kufanya usaili na kuonekana hujui mengine yote!


3. Epuka kuonekana umefanya kazi nyingi kwa kipindi kifupi kifupi. Mathalani umemaliza chuo mwaka 2012, umeshafanya kazi na makampuni manne tofauti mpaka kufikia mwaka 2014


4. Wasifu wako hautakiwi kuwa na vifupisho bila kuchanganua mfano, nimefanya kazi TRA, AMD, na NIC. Sio wote wanayajua makampuni hayo.


5. Usisahau kuweka mawasiliano yako hasa namba ya simu na anuani yako ya barua pepe


6. Kuweka namba za wadhamini ambazo hazipatikani, pengine walishabadili namba hizo ila kutokana na kwamba huna mawasiliano nao, hujui chochote!


7.Mpangilio mbovu wa wasifu wako, na kushindwa kuelezea kiundani uwezo wako.


8. Epuka kuandika wasifu usioendana na matakwa ya kule unakoupeleka unapoomba kazi. Daima fanya marekebisho kila unapoomba kazi sehemu nyingine.


9. Epuka kuiga wasifu wa mtu mwingine au kukopi kutoka kwenye mitandao matokeo yake mwajiri anakutana na CV kadhaa zinazofanana!


10. Daima panga karatasi zako vizuri kufuata mtiririko kuepuka kumchnganya msomaji na matokeo yake ni kuitupa kapuni na kuendelea na wengine.



Chanzo;kumimuhimu blog
 
EPUKA MAKOSA HAYA UNAPOANDIKA CV
YAKO (Curriculum vitae)
1.Epuka Kukosea herufi za maneno
(spelling) kwenye CV yako, hili ni kosa
kubwa na itaonyesha ni jinsi gani huna
umakini wakati wa kufanya mambo ya
muhimu.
2.Usiongeze vitu usivyoweza kuvifanya
kwani vitakuumbua siku ya kufanya usaili
na kuonekana hujui mengine yote!
3. Epuka kuonekana umefanya kazi nyingi
kwa kipindi kifupi kifupi. Mathalani
umemaliza chuo mwaka 2012,
umeshafanya kazi na makampuni manne
tofauti mpaka kufikia mwaka 2014
4. Wasifu wako hautakiwi kuwa na vifupisho
bila kuchanganua mfano, nimefanya kazi
TRA, AMD, na NIC. Sio wote wanayajua
makampuni hayo.
5. Usisahau kuweka mawasiliano yako hasa
namba ya simu na anuani yako ya barua
pepe
6. Kuweka namba za wadhamini ambazo
hazipatikani, pengine walishabadili namba
hizo ila kutokana na kwamba huna
mawasiliano nao, hujui chochote!
7.Mpangilio mbovu wa wasifu wako, na
kushindwa kuelezea kiundani uwezo wako.
8. Epuka kuandika wasifu usioendana na
matakwa ya kule unakoupeleka unapoomba
kazi. Daima fanya marekebisho kila
unapoomba kazi sehemu nyingine.
9. Epuka kuiga wasifu wa mtu mwingine au
kukopi kutoka kwenye mitandao matokeo
yake mwajiri anakutana na CV kadhaa
zinazofanana!
10. Daima panga karatasi zako vizuri
kufuata mtiririko kuepuka kumchnganya
msomaji na matokeo yake ni kuitupa
kapuni na kuendelea na wengine.
 
Wadau wa Jf kuna hii topic nzuri sana kwa waandika CV nikaona nishare link yake!

wenye hiyo blog wao hawakubali kukopi na kupaste ndo maana nimeweka link!


1.Epuka Kukosea herufi za maneno (spelling) kwenye CV yako, hili ni kosa kubwa na itaonyesha ni jinsi gani huna umakini wakati wa kufanya mambo ya muhimu.




2.Usiongeze vitu usivyoweza kuvifanya kwani vitakuumbua siku ya kufanya usaili na kuonekana hujui mengine yote!




3. Epuka kuonekana umefanya kazi nyingi kwa kipindi kifupi kifupi. Mathalani umemaliza chuo mwaka 2012, umeshafanya kazi na makampuni manne tofauti mpaka kufikia mwaka 2014




4. Wasifu wako hautakiwi kuwa na vifupisho bila kuchanganua mfano, nimefanya kazi TRA, AMD, na NIC. Sio wote wanayajua makampuni hayo.




5. Usisahau kuweka mawasiliano yako hasa namba ya simu na anuani yako ya barua pepe




6. Kuweka namba za wadhamini ambazo hazipatikani, pengine walishabadili namba hizo ila kutokana na kwamba huna mawasiliano nao, hujui chochote!




7.Mpangilio mbovu wa wasifu wako, na kushindwa kuelezea kiundani uwezo wako.




8. Epuka kuandika wasifu usioendana na matakwa ya kule unakoupeleka unapoomba kazi. Daima fanya marekebisho kila unapoomba kazi sehemu nyingine.




9. Epuka kuiga wasifu wa mtu mwingine au kukopi kutoka kwenye mitandao matokeo yake mwajiri anakutana na CV kadhaa zinazofanana!




10. Daima panga karatasi zako vizuri kufuata mtiririko kuepuka kumchnganya msomaji na matokeo yake ni kuitupa kapuni na kuendelea na wengine.
 
okay shukrani kwenu nyote....!! ila mleeta thread alikuwa anataka kuipiga promo hiyo blog nini? vitu kama vipo straight unatiririka tu kwa faida ya wengine!!
 
Jaman kukoxa kaz c kukoxea cv.! hata hao wanaopata kaz kaangalien cv zao zakawaida tu tena zaid yawew ulokoxa kaz,na hata wengne wanaomba kwako waone mfumo wakuandka,hapo kaka kuna namna,naamin graduates weng c wote weng wanajua kupanglia cv.ila hao wanaotoa matangazo yakaz watu wakaomba wakijua hawatawachagua wana watu wao mwenyez MUNGU anafaham adhabu yao,wacha tutaabike na maisha.
 
Wadau wa Jf kuna hii topic nzuri sana kwa waandika CV nikaona nishare link yake!

wenye hiyo blog wao hawakubali kukopi na kupaste ndo maana nimeweka.
==========================================================


1.Epuka Kukosea herufi za maneno (spelling) kwenye CV yako, hili ni kosa kubwa na itaonyesha ni jinsi gani huna umakini wakati wa kufanya mambo ya muhimu.


2.Usiongeze vitu usivyoweza kuvifanya kwani vitakuumbua siku ya kufanya usaili na kuonekana hujui mengine yote!


3. Epuka kuonekana umefanya kazi nyingi kwa kipindi kifupi kifupi. Mathalani umemaliza chuo mwaka 2012, umeshafanya kazi na makampuni manne tofauti mpaka kufikia mwaka 2014


4. Wasifu wako hautakiwi kuwa na vifupisho bila kuchanganua mfano, nimefanya kazi TRA, AMD, na NIC. Sio wote wanayajua makampuni hayo.


5. Usisahau kuweka mawasiliano yako hasa namba ya simu na anuani yako ya barua pepe


6. Kuweka namba za wadhamini ambazo hazipatikani, pengine walishabadili namba hizo ila kutokana na kwamba huna mawasiliano nao, hujui chochote!


7.Mpangilio mbovu wa wasifu wako, na kushindwa kuelezea kiundani uwezo wako.


8. Epuka kuandika wasifu usioendana na matakwa ya kule unakoupeleka unapoomba kazi. Daima fanya marekebisho kila unapoomba kazi sehemu nyingine.


9. Epuka kuiga wasifu wa mtu mwingine au kukopi kutoka kwenye mitandao matokeo yake mwajiri anakutana na CV kadhaa zinazofanana!


10. Daima panga karatasi zako vizuri kufuata mtiririko kuepuka kumchnganya msomaji na matokeo yake ni kuitupa kapuni na kuendelea na wengine.



Chanzo;kumimuhimu blog

Sharti namba moja umekosea mwenyewe kwenye uzi wako... aaahg kumbe sio wasifu(cv) huu ni uzi tu
 
Wadau wa Jf kuna hii topic nzuri sana kwa waandika CV nikaona nishare link yake!

wenye hiyo blog wao hawakubali kukopi na kupaste ndo maana nimeweka.
==========================================================


1.Epuka Kukosea herufi za maneno (spelling) kwenye CV yako, hili ni kosa kubwa na itaonyesha ni jinsi gani huna umakini wakati wa kufanya mambo ya muhimu.


2.Usiongeze vitu usivyoweza kuvifanya kwani vitakuumbua siku ya kufanya usaili na kuonekana hujui mengine yote!


3. Epuka kuonekana umefanya kazi nyingi kwa kipindi kifupi kifupi. Mathalani umemaliza chuo mwaka 2012, umeshafanya kazi na makampuni manne tofauti mpaka kufikia mwaka 2014


4. Wasifu wako hautakiwi kuwa na vifupisho bila kuchanganua mfano, nimefanya kazi TRA, AMD, na NIC. Sio wote wanayajua makampuni hayo.


5. Usisahau kuweka mawasiliano yako hasa namba ya simu na anuani yako ya barua pepe


6. Kuweka namba za wadhamini ambazo hazipatikani, pengine walishabadili namba hizo ila kutokana na kwamba huna mawasiliano nao, hujui chochote!


7.Mpangilio mbovu wa wasifu wako, na kushindwa kuelezea kiundani uwezo wako.


8. Epuka kuandika wasifu usioendana na matakwa ya kule unakoupeleka unapoomba kazi. Daima fanya marekebisho kila unapoomba kazi sehemu nyingine.


9. Epuka kuiga wasifu wa mtu mwingine au kukopi kutoka kwenye mitandao matokeo yake mwajiri anakutana na CV kadhaa zinazofanana!


10. Daima panga karatasi zako vizuri kufuata mtiririko kuepuka kumchnganya msomaji na matokeo yake ni kuitupa kapuni na kuendelea na wengine.



Chanzo;kumimuhimu blog

Mkuumalumu ahsante sana kuna kipengere kinanihusu!!
 
Wadau wa Jf kuna hii topic nzuri sana kwa waandika CV nikaona nishare link yake!

wenye hiyo blog wao hawakubali kukopi na kupaste ndo maana nimeweka.
==========================================================


1.Epuka Kukosea herufi za maneno (spelling) kwenye CV yako, hili ni kosa kubwa na itaonyesha ni jinsi gani huna umakini wakati wa kufanya mambo ya muhimu.


2.Usiongeze vitu usivyoweza kuvifanya kwani vitakuumbua siku ya kufanya usaili na kuonekana hujui mengine yote!


3. Epuka kuonekana umefanya kazi nyingi kwa kipindi kifupi kifupi. Mathalani umemaliza chuo mwaka 2012, umeshafanya kazi na makampuni manne tofauti mpaka kufikia mwaka 2014


4. Wasifu wako hautakiwi kuwa na vifupisho bila kuchanganua mfano, nimefanya kazi TRA, AMD, na NIC. Sio wote wanayajua makampuni hayo.


5. Usisahau kuweka mawasiliano yako hasa namba ya simu na anuani yako ya barua pepe


6. Kuweka namba za wadhamini ambazo hazipatikani, pengine walishabadili namba hizo ila kutokana na kwamba huna mawasiliano nao, hujui chochote!


7.Mpangilio mbovu wa wasifu wako, na kushindwa kuelezea kiundani uwezo wako.


8. Epuka kuandika wasifu usioendana na matakwa ya kule unakoupeleka unapoomba kazi. Daima fanya marekebisho kila unapoomba kazi sehemu nyingine.


9. Epuka kuiga wasifu wa mtu mwingine au kukopi kutoka kwenye mitandao matokeo yake mwajiri anakutana na CV kadhaa zinazofanana!


10. Daima panga karatasi zako vizuri kufuata mtiririko kuepuka kumchnganya msomaji na matokeo yake ni kuitupa kapuni na kuendelea na wengine.



Chanzo;kumimuhimu blog
Epuka kudanganya umri wako pia
 
Jaman kukoxa kaz c kukoxea cv.! hata hao wanaopata kaz kaangalien cv zao zakawaida tu tena zaid yawew ulokoxa kaz,na hata wengne wanaomba kwako waone mfumo wakuandka,hapo kaka kuna namna,naamin graduates weng c wote weng wanajua kupanglia cv.ila hao wanaotoa matangazo yakaz watu wakaomba wakijua hawatawachagua wana watu wao mwenyez MUNGU anafaham adhabu yao,wacha tutaabike na maisha.

Jifunze uandishi. Uhandishi kama wako unafaa zaidi facebook. Ulokoxa, kukoxea ndio utumbo gani huo?
 
Wadau wa Jf kuna hii
topic nzuri sana kwa waandika CV nikaona nishare link yake!

wenye hiyo blog wao hawakubali kukopi na kupaste ndo maana nimeweka.
==========================================================


1.Epuka Kukosea herufi za maneno (spelling) kwenye CV yako, hili
ni kosa kubwa na itaonyesha ni jinsi gani huna umakini wakati wa
kufanya mambo ya muhimu.


2.Usiongeze vitu usivyoweza kuvifanya kwani vitakuumbua siku ya kufanya
usaili na kuonekana hujui mengine yote!


3. Epuka kuonekana umefanya kazi nyingi kwa kipindi kifupi kifupi.
Mathalani umemaliza chuo mwaka 2012, umeshafanya kazi na makampuni manne
tofauti mpaka kufikia mwaka 2014


4. Wasifu wako hautakiwi kuwa na vifupisho bila kuchanganua mfano,
nimefanya kazi TRA, AMD, na NIC. Sio wote wanayajua makampuni hayo.


5. Usisahau kuweka mawasiliano yako hasa namba ya simu na anuani yako ya
barua pepe


6. Kuweka namba za wadhamini ambazo hazipatikani, pengine walishabadili
namba hizo ila kutokana na kwamba huna mawasiliano nao, hujui chochote!


7.Mpangilio mbovu wa wasifu wako, na kushindwa kuelezea kiundani uwezo
wako.


8. Epuka kuandika wasifu usioendana na matakwa ya kule unakoupeleka
unapoomba kazi. Daima fanya marekebisho kila unapoomba kazi sehemu
nyingine.


9. Epuka kuiga wasifu wa mtu mwingine au kukopi kutoka kwenye mitandao
matokeo yake mwajiri anakutana na CV kadhaa zinazofanana!


10. Daima panga karatasi zako vizuri kufuata mtiririko kuepuka
kumchnganya msomaji na matokeo yake ni kuitupa kapuni na kuendelea na
wengine.



Chanzo;kumimuhimu blog

Tatizo wanaopitia cv zetu wao wenyewe walipata kazi bila hata ya cv maana kipindi chao walikuwa wakitoka vyuoni direct wanaingia kazini...sasa huyu mtu anaijuaje cv ya mtu if nzuri au la??......
 
Tatizo wanaopitia cv zetu wao wenyewe walipata kazi bila hata ya cv maana kipindi chao walikuwa wakitoka vyuoni direct wanaingia kazini...sasa huyu mtu anaijuaje cv ya mtu if nzuri au la??......

...kuna vigezo vya kuzingatia katika uandishi WA CV, ukiviuka basi hiyo CV yako haitakuwa nzuri.
 
Curriculum vitae huwa aibadilishwi (kama hauna kazi za miaka nenda rudi yaani nyingi basi huwa ni 2 pages kwisha). Bali cover letter ndio inayobadilishwa kulenga kazi unauoitaguta kwa mwajiri huyo. (Fupi paragraphy 4 kwa one page)

Uliyoandika ni bomba
 
Muombaji unakuta ameweka Hobbies: Swimming, Bongo Movie, Reading Books etc! This is a waste of time and space.
 
Back
Top Bottom