Hahahahahaahah! Unamwambia tena unaumwa PUMU n humo chumbani hakuna hewa kabisa. kwa kweli inabore sana halafu ukute ananuka kwapa, AgrrrrrrrrrrrrrH! Pwaaaatwa! kichefuchefu kitupu!
siyo siku ya kwanza yanatakiwa kufanyika hayo
Wayne, hiyo avatar yako mie hoi..................Malcom Franks wa Single ladies. kiss kissIna maana wale ambao wanasema....NITUKANIE...LOL
Aliponipigia tu simu leo niende kwake(siku ya kwanza)mm toka nipo home Bihawana Mandingo kasimama wima;Nikaja naumia kwenye suruali hadi kwake Area D!Nikifika hapo nianze tena kuremba kukaguana kucha?
Mtambuzi mm mbantu haya ya kukaguana makalio yamevaa nn naanzia bao la 4 kwa sababu nakuwa tayari nimepoa!Hiyo ndiyo formula yangu na haijawahi badilika
Chozi zuri sana mkuu huwa linasaidia hata kutokudaiwa mahela meengi hususan kwa yale majambo ambyo umeyabeba tu kwa ajili ya kyakwarua, pia choz husaidia hata kweye hatua za utongozaji, nami huwa ni silaha yangu. umenikumbusha mbali.Nashukuru hapo kwenye agenda ya mwanaume kuweweseka hapanipi tatizo, because hua siwezi fanya hii makitu bila kulia! Tena nalia mpaka nahurumiwa!
Hahahahah Malafyale mi staki bwana akhaa!! ................... Yaani ukipigiwa simu uje kunyumba basi unajua kuwa waja kula tunda? Je kama nakuitia unisaidie kuua mende we utamuua kwa kutumia mandingo? Hahhahah
Hata mimi akitokaga nje ya reli huwa namrudisha. Kitu kimoja kizuri sana kutoka kwa Mkuu Mtambuzi si mbishi, anapima uzito wa hoja mtu aliyotoa. Haiwezekani bora hoja umlazimishe Mtambuzi au mtu yeyote humu aikubali kwamba ni hoja bora.Halafu aliyesema mimi sikosolewi hapa ni nani?
Mbona watu wananipa makavu na ninanywea tu mara nyingi.......
Unanivika kilemba cha ukoka bana.................. lara 1
Nashukuru hapo kwenye agenda ya mwanaume kuweweseka hapanipi tatizo, because hua siwezi fanya hii makitu bila kulia! Tena nalia mpaka nahurumiwa!
mahondaw upo?nmeipenda io mtambuz! kweli nivzr kuandaana kabla ya kufanya tendo kwan huwafanya wote wawil kuanza kuiva kabla ya tendo lenyew pia nahis mkishaiva inakua rahis kufika kunako climax bila ktumia nguvu nying na creativit ni muhimu pia kwan inakufanya ugundue points of weaknes za mwenzi wako! waoooh how wonderful love making wil be!