Logi
Member
- May 2, 2018
- 46
- 200
Kama mada inavojieleza makosa baadhi Yanayotutoa kwenye placements kwa uzoefu mkubwa wangu ni huu
Kipindi cha written interview
1 . Wasailiwa baadhi husahau vyeti vyao vya qualifications bila hivo hutaruhusiwa kufanya usaili
2 Kama ni kada ambazo unahitajika kujisalia kwa mamlaka husika hakikisha unavo vyeti mfano CPA kwa Kada za manunuzi, kwa Engineer ERB Certificate n.k kama kimeisha muda wake jaribu kuwasiliana na board husika wakupe barua ya kurenew la sivyo hautaruhusiwa kufanya interview utaharibu nauli bure
3.Wahi mapema kwenye usaili maana Pia kuna mabadiliko ya ratiba huwa yanatokea la sivyo utapaniki bure jaribu pia Kama umeitwa usaili pitia UTUMISHI WEBSITE siku mbili kabla kuona kama venue imebadilishwa au Laah maana kuna mabadiliko hua yanatokea
4.Kipindi cha usaili jibu short and clear kama ni explain just explain hawana muda wa kusoma easy kama mention just mention usione uko Sharo utanishukuru badae usiwe deep kitu ujaulizwa dakika arobaini ni chache mno usipokua makini zitaisha kwa maswali mawili tu .
Oral interview
1. Protocol ni ile ile wahi mapema lakini usisahau sweta pale kuna upepo na baridi mno kama siku ya kwanza unaweza kutetemeka kwa baridi unaingia usaili kumbe ni hali ya hewa
2. Concentrate ulichokisoma kuna watu pale wako deep lakini confidence zero wakiwa ndani mule usiwe muoga ujui Mungu kakupangia nini?
3.Tambua uwezi kukosa swali la explain about yourself and your background Jitahidi kulifanyia kazi ukikosea hapo hayo mengine huwezi kujibu kwa ufasaha tambua una dakika 20 tu za oral maswali either matano au manne
3. Jiamini ukiona swali hulielewi uliza arudie kuuliza Pia ukiona huelewi au point haziji mwambie skip utajibu ukimaliza hayo mengine
4. Ukitoka kwenye usaili pita moja kwa kwenye kwenye bajaji sepa la sivyo utampa adui silaha ya kukuangamiza tambua upo vitani nadhani nimeeleweka
5. Tambua kupata au kukosa ni majaliwa na bahati Pia kwa sisi watoto wa maskini lakini kwa wenye uhakika sio tabu kwao
Nasisitiza # MATOKEOYA ORAL NI HAKI YETU TUNAHITAJI KUYAJUA PIA KAMA TUNAVO ONA YA WRITTEN#
6. Nasisitiza usiwaogope wasaili maana ni binadamu kama sisi jiamini naimani utajibu vizuri swala la kupata placement muachie Mungu tu kama imefika binadamu hawezi zuia
By Logi
Placement soon will be available be patient
Kipindi cha written interview
1 . Wasailiwa baadhi husahau vyeti vyao vya qualifications bila hivo hutaruhusiwa kufanya usaili
2 Kama ni kada ambazo unahitajika kujisalia kwa mamlaka husika hakikisha unavo vyeti mfano CPA kwa Kada za manunuzi, kwa Engineer ERB Certificate n.k kama kimeisha muda wake jaribu kuwasiliana na board husika wakupe barua ya kurenew la sivyo hautaruhusiwa kufanya interview utaharibu nauli bure
3.Wahi mapema kwenye usaili maana Pia kuna mabadiliko ya ratiba huwa yanatokea la sivyo utapaniki bure jaribu pia Kama umeitwa usaili pitia UTUMISHI WEBSITE siku mbili kabla kuona kama venue imebadilishwa au Laah maana kuna mabadiliko hua yanatokea
4.Kipindi cha usaili jibu short and clear kama ni explain just explain hawana muda wa kusoma easy kama mention just mention usione uko Sharo utanishukuru badae usiwe deep kitu ujaulizwa dakika arobaini ni chache mno usipokua makini zitaisha kwa maswali mawili tu .
Oral interview
1. Protocol ni ile ile wahi mapema lakini usisahau sweta pale kuna upepo na baridi mno kama siku ya kwanza unaweza kutetemeka kwa baridi unaingia usaili kumbe ni hali ya hewa
2. Concentrate ulichokisoma kuna watu pale wako deep lakini confidence zero wakiwa ndani mule usiwe muoga ujui Mungu kakupangia nini?
3.Tambua uwezi kukosa swali la explain about yourself and your background Jitahidi kulifanyia kazi ukikosea hapo hayo mengine huwezi kujibu kwa ufasaha tambua una dakika 20 tu za oral maswali either matano au manne
3. Jiamini ukiona swali hulielewi uliza arudie kuuliza Pia ukiona huelewi au point haziji mwambie skip utajibu ukimaliza hayo mengine
4. Ukitoka kwenye usaili pita moja kwa kwenye kwenye bajaji sepa la sivyo utampa adui silaha ya kukuangamiza tambua upo vitani nadhani nimeeleweka
5. Tambua kupata au kukosa ni majaliwa na bahati Pia kwa sisi watoto wa maskini lakini kwa wenye uhakika sio tabu kwao
Nasisitiza # MATOKEOYA ORAL NI HAKI YETU TUNAHITAJI KUYAJUA PIA KAMA TUNAVO ONA YA WRITTEN#
6. Nasisitiza usiwaogope wasaili maana ni binadamu kama sisi jiamini naimani utajibu vizuri swala la kupata placement muachie Mungu tu kama imefika binadamu hawezi zuia
By Logi
Placement soon will be available be patient