Makosa kwenye tangazo la pspf

Makosa kwenye tangazo la pspf

Kokwa kavu

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
220
Reaction score
41
Ivi aliyekua ana chapisha majina ana hasira na na majina kuanzia H nin maana post ya Finance officer grade II kafanya makosa mara 3 majina yanaishia G afu yanaanza upya tena A kwa mwenye taarifa atusaidie
 
Cjui wamerekebisha? Mana ni wazembe vbya mnoo
 
wameyakosea kichizi. mi mwenyewe nimo ila nimeekwa kwenye category ambayo ckuiomba
 
natafuta software ya kuweza kusolve hilo tatizo....
 
Yaani hayo makosa wao wanaona sawa 2

Hivi jamani uhalisia wa kazi hizi upo? maaana uwiano wa nafasi na waombaji balaa, post moja waombaji 2000 ha ha ha ha ha ha ha.......... ama kweli ajira Tanzania ni Kizungu mkuti
 
Back
Top Bottom